Mpira ni fedha na mali: Orodha ya clubs zilizoingiza fedha ndefu 2020/21

Mpira ni fedha na mali: Orodha ya clubs zilizoingiza fedha ndefu 2020/21

Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
GSM kaweka ngapi pale Utopolo na je Yanga inajiendesha kwa faida
 
Sisi ni timu ya wananchi hatutaki na hatuitaji pesa za bure bure..
#daimaMbeleMwikoNyuma.
Utopolo isitoshe tu vile Luc alivyowambia ni uneducated/ pia mnatakiwa kupimwa akili.
Hamtaki hela za bure wakt GSM wanatoa hela za kusajili na kuiendesha Timu.
Sibomana anadai hela yake
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Unajua jezi zinaingiza shingp
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Jaribu kufuatilia reports ya kimahesabu ya hivi karibu, kwa taarifa yako simba haijawahi kupata hasara.
 
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
 
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bi

lion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.

Hili ndiyo tatizo la Uto, asubuhi anakuwa na akili za Chura 🐸 Jioni anakuwa na akili za Nyani 🐒.

Hapa munakaa na kujadiliana kuwa MO ni Mjanja anaingiza hela Nyingi sana kupitia Club ya Simba! Leo unasema MO anatoa 4B kila mwaka kuendesha Club ya simba na anapata hasara.

Nyani ni nyani tu.
 
Back
Top Bottom