OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hoja yako ni ipi?Mbona hawa crdb walianza kusaini na yanga kwanza juzi tarehe 1 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Crdb wamesaini huo mkataba na Yanga kitambo tuHoja yako ni ipi?
So what? hiyo ni hoja?Crdb wamesaini huo mkataba na Yanga kitambo tu
Hoja yako ni ipi?
Wewe ni MBUMBUMBU na ukoo wenu woteHoja yako ni ipi?
[emoji23]Wakatu Simba anapata mdhamini CRDB
Wenzetu wanakingiana ngumi na mandonga
kwa hiyo shida ni ipi hapo?
kuna mashindano ya ujanja hapa? Simba inashindana malengo yake haishindani na mtu. Nawasihi sana kuficha ujinga (sio tusi)Kuwa wote wamesaini so hakuna ambaye ni mjanja kuliko mwenzio kwa kusaini hilo deal
"Hata kama kampuni haina rangi nyekundu, tuko tayari kufanya nayo kazi, tunaheshimu brand, hatuwezi kubadilisha rangi ya logo yao."- CEO Barbara Gonzalez
kwa hiyo shida ni ipi hapo?
kwa hiyo kama CRDB wangesaini mtibwa then Simba,ingemaanisha Mtibwa ni kubwa au sio?!Crdb wameona n muhimu kuwekeza kwenye michezo na wamechagua simba sababu wameona ukubwa wao[emoji1787]tafakati hiyo sentence yako
Wakati Simba anapata mdhamini CRDB
Wenzetu wanakingiana ngumi na mandonga
Muulize huyo jamaa ya Scars alieongea kama vile crdb walisaini na kolo's huo mkataba onlykwa hiyo shida ni ipi hapo?
kwa hiyo kama CRDB wangesaini mtibwa then Simba,ingemaanisha Mtibwa ni kubwa au sio?!
Wamesaini kwa makubaliano ya shingapi?Sentence yako hiyo inamaanisha crdb wamechagua simba tu so hapo tulikuwa tunakusahihisha kuwa hata yanga wamesaini