Mpira umeisha: Yanga 2 vs 1 Kagera Sugar toka uwanja wa Taifa

Mpira umeisha: Yanga 2 vs 1 Kagera Sugar toka uwanja wa Taifa

Ni mpambano wa Ligi kuu Vodacom... mpambano ndio umeanza dak ya 6....

Azam Spots HD wako live.!

Yanga 1-0 KGS

Msuva dak ya 39.

Yanga 1-1 KGS
Mbaraka Yusufu dak ya 48 kipindi cha kwanza.

Kipindi cha kwanza kimeisha mpira ni 1-1 mapumziko.

Kipindi cha pili kimeanza.

Yanga 2-1 Kagera
Dak 52 Chirwa anaiandikia Yanga gili la pili.
WAMERUDISHA???
 
Enjoy...
idawa + Nifah ni zaidi ya livescore hahaha

Hasa usiombee tuwe mbele kama leo,utaipenda JF.
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Naona umenionyesha namna gan una Mahaba na yanga, saafi ila angalia usije ukatuambia SISI mbili WAO moja!
 
Simba ni taasisi, ni club ya wanachama wanaojitambua na kusimamia weledi wa kiuongozi, mpaka tunafikia hatua hiyo fahamu fika tumejipanga na kwa kifupi tu, liwake jua inyeshe mvua ubingwa mwaka huu unakwenda Msimbazi..just take my word..
Endelea kuota hivyo hivyo
 
Naam,ushindi muhimu ila imagine tungekuwa mbele walau kwa magoli 3-1 tungeondoa pressure ya Kagera kusawazisha.
Anatufanya tukose kujiamini....
 
Dak 71 Bado 2-1....... Yanga inashambulia sana ......Tambwe anakosa goli Kaseja anaokoa.
 
Afu #Nifah# na #Idawa# mjaribu kubalance mchezo mbonaa mnatoa updates ZENU tu kwan KAGERA SUGAR hawafiki golini????
 
Kivyovyote lazima tuongeze goli la 3,namna hii hatuna uhakika wa ushindi kwa 100%.
Go Yanga [emoji123]
 
Dak 74 Yondani anapata kadi ya njano.
 
Back
Top Bottom