Mpira umekwisha uwanja wa Taifa kati ya Ndanda Fc na Yanga SC Ni sare ya 1 na 1bila kufungana.

Mpira umekwisha uwanja wa Taifa kati ya Ndanda Fc na Yanga SC Ni sare ya 1 na 1bila kufungana.

Usijali kocha Zahere kwenye Press Conference amesema atamsajili mama yake kwenye dirisha dogo.Kwani wachezaji wake wanakosa nafasi ambazo hata mama yake angefunga.
Nafasi gani wanakosa, Yanga hamna viungo Wenye kupiga pasi za mwisho zaidi ya kutegemea mipira ya kutenga
 
Dakika 90 zimekwisha uwanja wa taifa jijini Dar es salaam kati ya Ndanda FC na Dar Yanga Afrika,
Yanga wamelazimisha sare ya Gori Moja kwa Moja bila kufungana,
Na wafungaji wa magoli ni Jafary Mohammed wa Yanga Dakika ya 24 na Nasoro Hashimu Dakika ya 16.
=================================
Sina Mengi zaidi ya hayo asanteni.

Kanjanja wewe. Kajifuze lugha kwanza. “Gori Moja kwa Moja bila kufungana” maana yake nini?
 
Cc Sibonike Hajar kyata Guasa Amboni Belo Prince Kunta Beira Boy hazard cfc logframe magnifico Turnkey Super Don Mgagaa na Upwa libeva
IMG-20181105-WA0046.jpeg
 
Sare katoa ndanda mikia wanashangilia utadhani wametwaa ubingwa yule msomali wa tabora lile jina alilowabatiza alikuwa sahihi sana.
 
Hawa vyura fc walishangilia sana sale ya ndanda na mnyama pale mtwara lakini wenyewe wametoa sale taifa wanajisahaulisha walivoshangilia ile sale yetu
 
Back
Top Bottom