Nafasi gani wanakosa, Yanga hamna viungo Wenye kupiga pasi za mwisho zaidi ya kutegemea mipira ya kutengaUsijali kocha Zahere kwenye Press Conference amesema atamsajili mama yake kwenye dirisha dogo.Kwani wachezaji wake wanakosa nafasi ambazo hata mama yake angefunga.
Na Korosho wamenyimwa penalty, yule kako alimwangusha forwardChura kanyanyaswa kwake [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Na bado safari za Mikoani zinakujaHoooooo hooooo Yanga tia maji tia maji
Dakika 90 zimekwisha uwanja wa taifa jijini Dar es salaam kati ya Ndanda FC na Dar Yanga Afrika,
Yanga wamelazimisha sare ya Gori Moja kwa Moja bila kufungana,
Na wafungaji wa magoli ni Jafary Mohammed wa Yanga Dakika ya 24 na Nasoro Hashimu Dakika ya 16.
=================================
Sina Mengi zaidi ya hayo asanteni.
Sijui,au umetumbuliwa kwenye Kampeni ya Makonda na kukuamber Rutizm?Kanjanja wewe. Kajifuze lugha kwanza. “Gori Moja kwa Moja bila kufungana” maana yake nini?
Anasema anataka mchezaji kama KagereUsijali kocha Zahere kwenye Press Conference amesema atamsajili mama yake kwenye dirisha dogo.Kwani wachezaji wake wanakosa nafasi ambazo hata mama yake angefunga.
Goli moja moja bila kufungana,kiswahili cha wapi hikiTypical, Mbumbumbu Fc fan, bila kufungana ndo nn sasa!??
Nilikosea mkuu nimeona niache tu.Mtanisamehe kwa makosa ya uwandishi mkuu.Goli moja moja bila kufungana,kiswahili cha wapi hiki
Ha ha ha pole mkuu,pamojaNilikosea mkuu nimeona niache tu.Mtanisamehe kwa makosa ya uwandishi mkuu.
Si unajua korosho zilinichanganya.Ha ha ha pole mkuu,pamoja
Hela za usajili mnazo?Dirisha dogo linafunguliwa ..mikoani kikosi kipya
Nakazia Mkuu.Hadi muda huu, kuna timu mbili tu hazijafungwa TPL. Yanga na Azam. Ligi imesimama hadi tucheze na Lesotho. Hali hiyo itabaki hivyo hivyo.
Dirisha dogo linafunguliwa ..mikoani kikosi kipya