Aeronautical
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 217
- 396
- Thread starter
- #21
Dakika ya 72: Yanga 1 vs Kagera 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi ukoUtopolo kama utopoloni
[emoji1320][emoji1320]Dakika ya 72: Yanga 1 vs Kagera 0
PoleNipo hapa bila makando kando wala red card nq penat sisi kagera tunashinda
Kiufupi tunaongoza vipindi vyote
Pole sana kwa kuchelewa kugindua. Mimi nimegundua tokea tarehe 6 kwenye mechi ya timu iliyopanda daraja Ihefu vs Simba.Leo ndo nimegundua kwa nn Tanzania kila mwaka kwenye viwango vya fifa tuna cheza kwenye ya 100+
Hata Simba ilishinda kwa Ihefu lakini walicheza chini ya kiwango. Kwenye mpira kuna performance na matokeo. Unaweza kucheza mpira mzuri sana na burudani ukatoa lakini ukashindwa kupata matokeo. Mfano Yanga vs Prisons. Lakini unaweza kucheza chini ya kiwango lakini ukabebwa na bahati tu ndio hili ya Yanga vs Kagera na Ihefu vs SimbaYanga imeshinda lakini kwa mpira ule mna safari ndefu sana
Butua butua fc hao Kona wamepata dakika ya 84' ilikuwa wanapumulia mashine mpaka mpaka kocha wao anataka mpira uisheHawa yanga sielewi wanacheza nn. Hawana mipango kbsa
Sisi Timu ya Wananchi a.k.a Vijora FC tutamuingiza Senzo akatufungie goli
Vijora netball club[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1536]Sisi Timu ya Wananchi a.k.a Vijora FC tutamuingiza Senzo akatufungie goli
Hii ya yanga sio bahati Bali mmeponea tundu ya sindano ile penalty ya mwamnyeto mngenyimwa nyi nyi mngeenda FIFA kama kawaida yenuHata Simba ilishinda kwa Ihefu lakini walicheza chini ya kiwango. Kwenye mpira kuna performance na matokeo. Unaweza kucheza mpira mzuri sana na burudani ukatoa lakini ukashindwa kupata matokeo. Mfano Yanga vs Prisons. Lakini unaweza kucheza chini ya kiwango lakini ukabebwa na bahati tu ndio hili ya Yanga vs Kagera na Ihefu vs Simba
Hatai ile ya Ihefu vs Simba, tumeshuhudia Simba ikienda mapumziko kwa kuongoza kwa advantage ya mshika kibendera. Kwa kukataa goli halali kabisa la Ihefu.Hii ya yanga sio bahati Bali mmeponea tundu ya sindano ile penalty ya mwamnyeto mngenyimwa nyi nyi mngeenda FIFA kama kawaida yenu
We huoni kama na wao walipewa advantage na mshika kibendera pia Ile ngoma droo Ila kwa mpira huu anaocheza yanga hata akija al-ahly anakufa"Hatai ile ya Ihefu vs Simba, tumeshuhudia Simba ikienda mapumziko kwa kuongoza kwa advantage ya mshika kibendera. Kwa kukataa goli halali kabisa la Ihefu.
wewe bi Dada upo nchi gani?Simaba kashindada gapapi?
Mkuu kwa heshima yako usihusishe majina ya ajabu na mpira!! Huu ni uumini mwinhine asee.Kagera funga MATAGA hao
Huwezi kusema ngoma droo wakati tukio la Ihefu lilitangulia. Huwezi jua wangetoka mapumziko 2 kwa 2. Wachezaji ingewajengaje kiakili na kupata nguvu ya kupata matokeo.We huoni kama na wao walipewa advantage na mshika kibendera pia Ile ngoma droo Ila kwa mpira huu anaocheza yanga hata akija al-ahly anakufa"