Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ali level score board akaenda Extra Time..Man u alishinda kabisa yan from behind to level then win ndani ya hizo two minutes ndio maana hii game ni moja ya game Fergie ilimpa heshima sanaHiyo dakika 2 mbona nyingi bwana, unakumbuka uefa 2014 kati ya real madrid vs atletico madrid. Mpaka dakika ya 90+ score board inasoma 0-1.
Kona inapigwa wakimaliza kupiga mpira uishe huku nje atletico wanajiandaa kushangilia kombe lao la kwanza la uefa. Sekunde ya mwisho kabisa, yaan ya mwisho kabisa Sergio Ramos anapiga header na kusawazisha.
Wanaenda extra time, kilichotokea huko kila mtu anajua.
Hii haitishi mdauHiyo dakika 2 mbona nyingi bwana, unakumbuka uefa 2014 kati ya real madrid vs atletico madrid. Mpaka dakika ya 90+ score board inasoma 0-1.
Kona inapigwa wakimaliza kupiga mpira uishe huku nje atletico wanajiandaa kushangilia kombe lao la kwanza la uefa. Sekunde ya mwisho kabisa, yaan ya mwisho kabisa Sergio Ramos anapiga header na kusawazisha.
Wanaenda extra time, kilichotokea huko kila mtu anajua.