Mpira wa miguu ni mchezo unaokutanisha msiba na harusi kwenye uwanja mmoja

Hiyo dakika 2 mbona nyingi bwana, unakumbuka uefa 2014 kati ya real madrid vs atletico madrid. Mpaka dakika ya 90+ score board inasoma 0-1.

Kona inapigwa wakimaliza kupiga mpira uishe huku nje atletico wanajiandaa kushangilia kombe lao la kwanza la uefa. Sekunde ya mwisho kabisa, yaan ya mwisho kabisa Sergio Ramos anapiga header na kusawazisha.

Wanaenda extra time, kilichotokea huko kila mtu anajua.
 
Spurs v Ajax .... Moura aliwaacha wadachi na vilio heavy.
 
Hio ali level score board akaenda Extra Time..Man u alishinda kabisa yan from behind to level then win ndani ya hizo two minutes ndio maana hii game ni moja ya game Fergie ilimpa heshima sana
 
Hii haitishi mdau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…