Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Ndiyo, nimeona tofauti ya mashabiki wa Tanzania na nchi zingine. Yanga jana imefungwa lakini mashabiki walichangia kuwavuruga wachezaji wetu! Ile kelele na lile vibe, ni lazima timu yoyote inayokwenda kucheza uwanja ule ijipange!
Sisi mashabiki wa Kitanzania tukiingia uwanjani utaona watu wamekaa kama wanasubiri masufuria ya wali, wengine wanaongea na simu, wengine wanapiga selfie, wako wanaotembeza vitumbua, wapo waliokaa wanatafuna bisi, mabosi nao utaona wamekaa, wanasubiri goli lifungwe ndio washangilie baada ya hapo wanakaa tena.
Kama hatuwezi hakuna haja ya kwenda viwanjani!
Sisi mashabiki wa Kitanzania tukiingia uwanjani utaona watu wamekaa kama wanasubiri masufuria ya wali, wengine wanaongea na simu, wengine wanapiga selfie, wako wanaotembeza vitumbua, wapo waliokaa wanatafuna bisi, mabosi nao utaona wamekaa, wanasubiri goli lifungwe ndio washangilie baada ya hapo wanakaa tena.
Kama hatuwezi hakuna haja ya kwenda viwanjani!