khalifah sharon
New Member
- May 4, 2021
- 2
- 5
Mimi nakupinga
Hakuna mtu anataka kuwekeza kwenye hasara simba na yanga ndo timu zinazofanya vizur nazina mashabiki wengi kama ulivosema, lazima mtu awekeze anapo weza kupata faida.
Mo kabka hajaja sima alikua african lyon kama sikosei watu wakaiita ni simba ndogo, kwann mo akaamua kuwekeza simba kwa sababu kuna fans wengi zaidi ambai ndio walengwa.
Twende kwa gsm amedhamini timu ngapi na je ni timu gani ameweka nguvu kubwa ni yanga kwa sababu ina fans wengi na hao ndio walengwa kibiashara.
Twende faida za kinchi timu nyingi zimekuwa zikiingia michuano yakimataifa kwa mfano kmc namungo azam yanga na simba ilaa wote wamekua wakifeli isipokua simba ambaye kaifanya ligi yetu ionekane moja ya ligi bora africa,
asa ni kivip simba inadumza soka letu? Na vipi yanga anadumaza soka letu? Kama ni hujuma kila nchi inahujuma zake za kiisoka.
Hakuna mtu anataka kuwekeza kwenye hasara simba na yanga ndo timu zinazofanya vizur nazina mashabiki wengi kama ulivosema, lazima mtu awekeze anapo weza kupata faida.
Mo kabka hajaja sima alikua african lyon kama sikosei watu wakaiita ni simba ndogo, kwann mo akaamua kuwekeza simba kwa sababu kuna fans wengi zaidi ambai ndio walengwa.
Twende kwa gsm amedhamini timu ngapi na je ni timu gani ameweka nguvu kubwa ni yanga kwa sababu ina fans wengi na hao ndio walengwa kibiashara.
Twende faida za kinchi timu nyingi zimekuwa zikiingia michuano yakimataifa kwa mfano kmc namungo azam yanga na simba ilaa wote wamekua wakifeli isipokua simba ambaye kaifanya ligi yetu ionekane moja ya ligi bora africa,
asa ni kivip simba inadumza soka letu? Na vipi yanga anadumaza soka letu? Kama ni hujuma kila nchi inahujuma zake za kiisoka.