Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.
Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans.

Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa.

Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game za Liverpool basi tu sababu ya kuipenda team ila kwa sasa sioni zile pure talent kama zama zile ..

Tulikuwaga na Xabi alonso anazima pale na mascherano kati halafu Steven Gerald. Lakini leo tuna wataru Hendo,

Tukikuwaga na watu wa kazi Denis Bergkamp pale arsenal lakini leo tuna Gabriel jesus, na taka taka zingine kama Halaand pale Man City.

Hebu fikiria watu kazi kama Vidic,Rio ferdinand, Ashley Cole, patrice Evra,dirk kuyt, hawapo tena,

hebu wazia pale Qpl ya moto enzi zile yaani full kuenjoy.

Binafsi ukiniuliza nitakwambia kwa sasa CAF champions league ni bora kuliko Uefa ya sasa hivi . UEFA ya mwisho kuwa nzuri zaidi ni ile 2015/2016! Baada ya hapo ni maigizo matupu na ujinga ujinga.

Wachezaji nowdays wamekariri mifumo kutoka kwa makocha kama maroboti yaani hatuoni zile extra talent kutoka kwao .

Sikuhizi mchezaji kufunga goli la uwezo binafsi ni ngumu sana sana zaidi ya kufuata mfumo kama robot..

Naamini Neymar ndiyo talent ya mwisho ambayo ilibaki na ilitegemewa kufanya makubwa lakini ndio vile mnamuona tena mwenyewe kijana umri umesogea..

Nadhani ligi ya EPL ndiyo imeshakuwa ya kidwanzi sana kufuatilia hakuna tena soka la burudani kama zamani zaidi mifumo mipya ya hovyo wachezaji waifuate kama robot.

No wonder wachezaji kama Halaand wanacheza na wanaonekana bora sana, na wanafikia mpka kugombania tuzo kubwa kubwa ni ujinga.

Marefa wa epl ndio kituko kabisa hawana tofauti na huku Bongo wana VAR lakini bado maamuzi ni kichekesho.

Angalau Spain bado wana mpira wao asili kidogo unafurahia kuenjoy.

Afadhali hata ligi ya Tanzania kuna magoli yanafungwa unaona kabisa huu ni uwezo binafsi kabisa kuliko EPL ya sasa aseeh
 
Game ya Tottenham na Brentford ilikuwa kichekesho kikubwa sana kuwahi kuona kwangu yaani aibu sana

Kipa wa Tottenham aliruka juu akautema mpira uliopigwa krosi lakini hakuutema vizuri ukawa unatua kwenye kifua cha mchezaji wa Brentford alikuwa nje ya mstari wa box ,
Then kipa akatoka nje ya box na kuutoa mpira uliokuwa almost umetua kwenye kifua cha mchezaji wa Brentford!

Tukumbuke hapo alikuwa nje ya box tayari lakini cha ajabu refa akampa kadi yellow mchezaji yule wa Brentford!

Hii ni nini kama sio kituko wakuu🤣
 
Nilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
 
Nilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
Hapo ndiyo umejua wapi soka lipo nowdays
Mpira Africa unakua sana ndiyo maana FIFA wanajaribu kuleta ujinga wao kama ile African football league ili iwe kama kule ulaya ilikokataliwa
 
mpira wa sasa hakuna mvuto. nilishaacha kuangalia. mara ya mwisho 2013. nikiangalia ni mechi za simba na yanga au za caf (simba/yanga)
Bado Africa mpira ni mzuri

Kuliko Europe
Eti final uefa man City na inter Milan ilikuwa moja ya final mbovu kuwahi kutokea

Nilijuta kupoteza time yangu

Wewe fatilia hata jf hapa news za African football kila dakika zinaanzishwa
 
I salute you kinsmen.
Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans.

Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa.

Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game za Liverpool basi tu sababu ya kuipenda team ila kwa sasa sioni zile pure talent kama zama zile ..

Tulikuwaga na Xabi alonso anazima pale na mascherano kati halafu Steven Gerald. Lakini leo tuna wataru Hendo,

Tukikuwaga na watu wa kazi Denis Bergkamp pale arsenal lakini leo tuna Gabriel jesus, na taka taka zingine kama Halaand pale Man City.

Hebu fikiria watu kazi kama Vidic,Rio ferdinand, Ashley Cole, patrice Evra,dirk kuyt, hawapo tena pale Qpl ya moto enzi zile yaani full kuenjoy.

Binafsi ukiniuliza nitakwambia kwa sasa CAF champions league ni bora kuliko Uefa ya sasa hivi . UEFA ya mwisho kuwa nzuri zaidi ni ile 2015/2016! Baada ya hapo ni maigizo matupu na ujinga ujinga.

Wachezaji nowdays wamekariri mifumo kutoka kwa makocha kama maroboti yaani hatuoni zile extra talent kutoka kwao .

Sikuhizi mchezaji kufunga goli la uwezo binafsi ni ngumu sana sana zaidi ya kufuata mfumo kama robot..

Naamini Newmarket ndiyo talent ya mwisho ambayo ilibaki na ilitegemewa kufanya makubwa lakini ndio vile mnamuona tena mwenyewe kijana umri umesogea..

Nadhani ligi ya EPL ndiyo imeshakuwa ya kidwanzi sana kufuatilia hakuna tena soka la burudani kama zamani zaidi mifumo mipya ya hovyo wachezaji waifuate kama robot.

No wonder wachezaji kama Halaand wanacheza na wanaonekana bora sana, na wanafikia mpka kugombania tuzo kubwa kubwa ni ujinga.

Marefa wa epl ndio kituko kabisa hawana tofauti na huku Bongo wana VAR lakini bado maamuzi ni kichekesho.

Angalau Spain bado wana mpira wao asili kidogo unafurahia kuenjoy.

Afadhali hata ligi ya Tanzania kuna magoli yanafungwa unaona kabisa huu ni uwezo binafsi kabisa kuliko EPL ya sasa aseeh
Nakubaliana na wewe 100%. Hili jambo huwa nawaambia watu wachache huwa tunaelewana. Yaani hata nisipoangalia mechi ya ulaya kwa sasa sioni kama kuna kitu nimemiss. Huwa natizama games zao basi tu ikitokea nina muda
 
Vyovyote itakavyo kua,ila mpira wa Africa unatia AIBU Jana nimeangalia taifa stars na Congo nimesikitika Sana..halafu timu zile ndio za AFCON??

AFRICA uwakilishi world cup ziwe timu mbili
Tatizo mnaangalia facilities na vitu kama hivyo ndo vinaikwamisha Africa

Ila kuhusu vipaji hapa Africa ni hatari

Siasa ndiyo tatizo huku angalia Etoo anavyofanya ujinga sasa
 
Akili Yako haiko sawa inabidi ukapimwe malaria eti CAF izizidi UEFA hivi unaakili timamu kweli aisee nilikuaga sijawahi kuona vituko ila Leo nimeona mzee hujui mpira we angalia hiyo caf sababu hujui mpira nikuambie tu ulaya vipaji vipo na vitaendelea kuwepo hao wachezaji uliowataja wa zamani ni wakawaida sana na wapo mpaka kwenye timu ndogo pale EPL Sasa hivi
 
Nakubaliana na wewe 100%. Hili jambo huwa nawaambia watu wachache huwa tunaelewana. Yaani hata nisipoangalia mechi ya ulaya kwa sasa sioni kama kuna kitu nimemiss. Huwa natizama games zao basi tu ikitokea nina muda
Kiukweli games za sikuhizi nakerekwa sana

Mbaya zaidi wachezaji wapuuzi wapuuzi tu ndiyo utawaona huko kwenye tuzo za FIFA yaani inamaana ndiyo vipaji vya sasa hivyo hakuna wengine..

Doku, sijui Halaand, sijui nani vile stones mara sijui nanii yaani inachosha sana unaona wazi game inaanza mpka mwisho ni hivyo hivyo wachezaji kama robot linapita mule mule kwenye mfumo kama zezeta

No wonder sikuhizi game nyingi ni draw au zinaisha bila ku concern goli
 
Kiukweli games za sikuhizi nakerekwa sana

Mbaya zaidi wachezaji wapuuzi wapuuzi tu ndiyo utawaona huko kwenye tuzo za FIFA yaani inamaana ndiyo vipaji vya sasa hivyo hakuna wengine..

Doku, sijui Halaand, sijui nani vile stones mara sijui nanii yaani inachosha sana unaona wazi game inaanza mpka mwisho ni hivyo hivyo wachezaji kama robot linapita mule mule kwenye mfumo kama zezeta

No wonder sikuhizi game nyingi ni draw au zinaisha bila ku concern goli
Wewe unasumbuliwa na ugumu wa maisha Wala sio mpira kama mpira EPL unabondwa vizuri tu na haitokuja kupoa sababu timu za Ile ligi zinajua nini zinafanya
 
Sijaongelea vipaji nimeongea ubora wa timu Zetu
Wenzetu kwa sasa hakuna team pia mkuu amini

Umeona Euro ya juzi kati? Kuna mpira gani mule yaani hovyo sana

Angalau walioangalia copa america ndiyo waliienjoy

Unazidi kuona kwamba team zao pia ubroa unashuka taratibu sababu ya makocha kutaka kuwafanya wachezaji wasio na vipaji nao wacheze mpira kisa tu wanafuata mfumo basi

Halaand na kipaji gani yule.mpaka aimbwe hivi?

No wonder lukaku bado ni lulu sababu hakuna pure striker nowdays
 
Back
Top Bottom