Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Hana mbinu tu
Hana mbinu huku anawakanda kila siku. Vini Jr angekuwa anacheza under Pep usingeona udambwi wake. Kule kila mtu ni mambio tu na mipass kibao. Boring.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mbinu tu
Alipokuwa Everton alikuwa mbwa tuHana mbinu huku anawakanda kila siku. Vini Jr angekuwa anacheza under Pep usingeona udambwi wake. Kule kila mtu ni mambio tu na mipass kibao. Boring.
Alipokuwa Everton alikuwa mbwa tu
Usije ukaikacha thimbaaaaaa tarehe 19Nilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
Ukocha ni mbinu angenunua wanaoendana na mfumo waokwa players gani waliopo Everton? Ashley young bado ni starter hadi leo hiyo nayo ni timu?
Ukocha ni mbinu angenunua wanaoendana na mfumo wao
Muulize anajua Fernando Redondo? Vipi Davor Suker? Nwankwo Kanu, moja ya talent bora zaidi kuwahi kucheza mpira ambaye kwa mtazamo wangu, kama isingekuwa operation angeenda kuwa mchezaji bora duniani. Kuna kikosi cha Cameroon cha kina Roger Miller kilichotukumbusha kuwa soccer ni sanaa.Ulimtizama Okocha akiwa anacheza timu gani?
WC ya 2002 Korea Japan uliiona ukiwa kidato cha ngapi?
Ulimuona Robert Mboma akiifunga Ufaransa? Taribo West ? Je? 2006 umeiona Ghana yenye vipaji ya Appiah ikicheza na Brazil? Fainali ya Liver na Ac Milan uliiona? Batistuta umemuona akicheza?
Inshu hapa siyo kukutajia hao wachezaji inshu ya mtoa mada ni ubunifu wa wachezaji na vipaji vyao halisi wkiwa uwanjani.
Mifumo imekuwa kitu muhimu zaidi kuliko vipaji. Kuna ubaya na uzuri wa hii kitu.
Ukuondoa racism Yaya Toure anaingia ktk utata na Pep kwa sababu ya mfumo na siyo kipaji. Pep Mfumo wake unatka kilo chache kwa kiungo. Fergie anakosa vipaji alivyokuwa anavitaka mpk anamrudisha Scholes.
Hata hivyo kulikuwa na wachezaji flops ktk hizo zama pia siyo wooote walikuwa wazuri