Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Hana mbinu huku anawakanda kila siku. Vini Jr angekuwa anacheza under Pep usingeona udambwi wake. Kule kila mtu ni mambio tu na mipass kibao. Boring.
Alipokuwa Everton alikuwa mbwa tu
 
Usije ukaikacha thimbaaaaaa tarehe 19
 
kwa players gani waliopo Everton? Ashley young bado ni starter hadi leo hiyo nayo ni timu?
Ukocha ni mbinu angenunua wanaoendana na mfumo wao
 
Ukocha ni mbinu angenunua wanaoendana na mfumo wao

Kwa bajeti gani ya Everton? Everton hiyo hiyo inayopokonywa points kila siku. Umeanza lini kufuatilia mpira maana unauliza obvious qns.
 
Muulize anajua Fernando Redondo? Vipi Davor Suker? Nwankwo Kanu, moja ya talent bora zaidi kuwahi kucheza mpira ambaye kwa mtazamo wangu, kama isingekuwa operation angeenda kuwa mchezaji bora duniani. Kuna kikosi cha Cameroon cha kina Roger Miller kilichotukumbusha kuwa soccer ni sanaa.

Mpira sasa hivi unaboa sana. Yaani Ujerumani anacheza mpira mzuri kuliko Brazil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…