"Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

"Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

ungekuwa unafuatilia majgit ya magufuli kipindi kile ungeelewa.
Jiuluze tu kwanini kawekewa vikwazo mpishi na sio waziri?
marekani wameshafanya ujasusi na kugundua hyo mpishi ndo INJINI ya Putin.
Ndo maana nimesema "sio kila mpishi ni mpishi_
Naona kama unajipinga mwenyewe, nikilinganisha hiki usemacho na comment za mwanzo

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa tajiri mkubwa nchini kwenu huhitaji kwenda Ulaya kula bata

Wageni niliokutana nao Ulaya kutoka nchi nyingine ni wachumia tumbo kama wote

Asiye mchumia tumbo basi ugeni wake unafanya wanamnyanyapaa

Mmiliki wa Chelsea amekimbia utajiri wake UK

Mpishi wa Putin anakula bata ndani ya Russia bila kwere
 
Kuwekeana vikwazo ni vita ya kizamani
Ingieni ulingoni tuone mbabe nani
Vikwazo ni vita pia kama hujui huwezi mchagulia mtu mnapopigana kuwa oh usiokote jiwe kunipiga nalo tupigane ngumi tu
 
Vita zote alizopigana marekani alitumia vikwazo?
watu watakupima kulingana na walivyokuzoea ukipigana.
Ule ubabe wa marekani upo wapi?
ni wazi marekani anamuogopa mrusi huo ndo ukweli
Vikwazo ni vita pia kama hujui huwezi mchagulia mtu mnapopigana kuwa oh usiokote jiwe kunipiga nalo tupigane ngumi tu
 
Vita zote alizopigana marekani alitumia vikwazo?
watu watakupima kulingana na walivyokuzoea ukipigana.
Ule ubabe wa marekani upo wapi?
ni wazi marekani anamuogopa mrusi huo ndo ukweli
Usiiwe mtumwa wa historia mtu hawapigani ili watu wamuanaje anapigana kushinda vita

Unable wa Marekani uko kwenye vikwazo angemuogopa asingemuwekea vikwazo hadi TV yake mrusi Ya RT kingamuzi cha Azam imeondoka Urusi kamambabe airudishe nakupa mfano mdogo tu Marekani imeamua TV za Urusi zisionekane Popote duniani iispokuwa Urusi kwao na kaweza .Mrusi hana ubavu wa kurudisha TV zake hewani
 
Kwamba wale magenerals wote wa Marekani, wachumi wote wa Marekani wewe unaona ni waduwanzi kabisa😃😃😃😃😃 yaani mtu wa third world country actually a shithole one!!!!

Wacha niamke nikafungue garage kwanza
Jamaa lipo shitshole country linapingana na viongozi wa superpower.

Tena linampinga mtu kama Biden ambaye ametumia muda mrefu kupata urais yaani biden ana experience kubwa sana
 
Tatizo hatujawahi kuiona marekani HII..
Marekani ni watu wa kusoma upepo.
Sipendi vita ila najua marekani Kama urusi ingekuwa nchi dhaifu wangeshapeleka majeshi
Urusi ni dhaifu.

Siku 9 bado wanambwelambwela tu na kuishia kuuwa raia wasio na hatia!
 
Jamaa lipo shitshole country linapingana na viongozi wa superpower.

Tena linampinga mtu kama Biden ambaye ametumia muda mrefu kupata urais yaani biden ana experience kubwa sana
Hata Putin ana experience kubwa lakini siku ya 9 leo anachezeshwa singeli na wazalendo wa Ukraine!
 
Vikwazo hata wewe unaweza kumuwekea mtu unayemuogopa
Kama kuacha kuongea nae lakini sio kumpiga
Usiiwe mtumwa wa historia mtu hawapigani ili watu wamuanaje anapigana kushinda vita

Unable wa Marekani uko kwenye vikwazo angemuogopa asingemuwekea vikwazo hadi TV yake mrusi Ya RT kingamuzi cha Azam imeondoka Urusi kamambabe airudishe nakupa mfano mdogo tu Marekani imeamua TV za Urusi zisionekane Popote duniani iispokuwa Urusi kwao na kaweza .Mrusi hana ubavu wa kurudisha TV zake hewani
 
Hata Putin ana experience kubwa lakini siku ya 9 leo anachezeshwa singeli na wazalendo wa Ukraine!
Putin hajachezeshwa singeli.

Vita sio PlayStation , mambo ya logistics ni muhimu na huwezi kupiga piga tu uraia wananchi wengi ndio maana unakuta wamesimama nje ya kiev kwa muda mrefu.

Tuweke record sawa kwanza.
 
Unasema mpishi tu?! Nadhani huelewi thamani ya huyo unayemuita mpishi tu.

Huyo mtu asipolindwa kiuchumi, kisiasa na kijamii, kumuua Putin ni kitu cha dakika moja tu. Maana yake ni kwamba huyo ni mtu muhimu lakini kumuwekea vikwazo ni uduwanzi.

Marekani anatapatapa sasa na anaishia kujidhalilisha tu!
Hata Putin na Rusia hana dharau hizi ulizonazo kwa Marekani. Moja ya makosa makubwa ni kudharau movement anayofanya adui yako na kuiona ya kiduanzi.
 
Putin hajachezeshwa singeli.

Vita sio PlayStation , mambo ya logistics ni muhimu na huwezi kupiga piga tu uraia wananchi wengi ndio maana unakuta wamesimama nje ya kiev kwa muda mrefu.

Tuweke record sawa kwanza.
Ameishiwa chakula.

Vita ni sayansi.

Daudi hakuhangaika sana na Goliatti!
 
Back
Top Bottom