"Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

"Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

Vikwazo hata wewe unaweza kumuwekea mtu unayemuogopa
Kama kuacha kuongea nae lakini sio kumpiga
Vikwazo vinapiga pia mfano kuna jirani alikuwa mkorofi kapanda nyumba park Haina akawa analaza gari kwa jirani yake bure. WAKAJA wakagombana.Jirani akampiga marufuku Kulaza gari yake kwake ikabidi awe anailaza ofisi ya CCM ambayo iko mbali umbali wa kilomita moja ambako alikuwa aklpiia shilingi elfu Tatu kwa siku

Kuifuata gari yake anaitia bodaboda anawalipa elfu nne kila siku akipaki bodaboda, akiifuata bodaboda akaona isiwe tabu akahama akaenda kupanga kwingine.Vikwazo vilimshughulikia na mibavu yake hadi alikimbia mtaa
 
Shida ni kuwa hivyo vikwazo vinamuumiza Putin.?
vipi na yeye akikomaa na chuma Cha mzungu?
yeye anaua wewe unaweka vikwazo
Vikwazo vinapiga pia mfano kuna jirani alikuwa mkorofi kapanda nyumba park Haina akawa analaza gari kwa jirani yake bure. WAKAJA wakagombana.Jirani akampiga marufuku Kulaza gari yake kwake ikabidi awe anailaza ofisi ya CCM ambayo iko mbali umbali wa kilomita moja ambako alikuwa aklpiia shilingi elfu Tatu kwa siku

Kuifuata gari yake anaitia bodaboda anawalipa elfu nne kila siku akipaki bodaboda, akiifuata bodaboda akaona isiwe tabu akahama akaenda kupanga kwingine.Vikwazo vilimshughulikia na mibavu yake hadi alikimbia mtaa
 
Hata Paul Makonda amepigwa sanctions, sio habari mpya hiyo.
 
Shida ni kuwa hivyo vikwazo vinamuumiza Putin.?
vipi na yeye akikomaa na chuma Cha mzungu?
yeye anaua wewe unaweka vikwazo
Hujafuatilia Mali zake.za familia na ndugu wa karibu zimekuwa frozen na hawaruhusiwi kusafiri nchi yeyote ya Ulaya au Marekani.Wamewekewa vikwazo vya kusafiri .watakuwa tu wanasafiri ndani ya mbagala hadi gongolamboto ya Urusi tu
 
Tunapoongelea swala la Mzee Joe huwa namsamehe tu network yake haiko vzr. Juzi badala ya kusema Ukraine anasema Iranian. Ipo siku alipotea kwenda ofisini kwake.

Huyu mzee aluathirika na vita pia umri, ubongo wake hauunganishi vitu. Usishangae akajipiga vikwazo hata yeye pasipo kujua

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Unasema mpishi tu?! Nadhani huelewi thamani ya huyo unayemuita mpishi tu.

Huyo mtu asipolindwa kiuchumi, kisiasa na kijamii, kumuua Putin ni kitu cha dakika moja tu. Maana yake ni kwamba huyo ni mtu muhimu lakini kumuwekea vikwazo ni uduwanzi.

Marekani anatapatapa sasa na anaishia kujidhalilisha tu!
Mpishi ni mpishi tu. Kwani dereva wake kumuua Putin inachukua dakika ngapi? Au daktari wake? Au mlinzi wake?
 
Kuwekeana vikwazo ni vita ya kizamani
Ingieni ulingoni tuone mbabe nani
ulingoni ndo vita za kizamani...zamani ilianza ngumi->mawe->fimbo-> mikuki-> mapanga->mishale->risasi->grenade->mabomu->Nuclear->Bioweapons->Vikwazo
Inayofuatia hapo ni teknolojia tu, yani ukizingua asset zote za kidijitali zinapotea, hupati internet, traffic & air control zinahakiwa, umeme unazimwa yaani inakuwa ni chaos juu ya chaos
 
Utakuwa ni mgeni na ubabe wa marekani.
ulingoni ndo vita za kizamani...zamani ilianza ngumi->mawe->fimbo-> mikuki-> mapanga->mishale->risasi->grenade->mabomu->Nuclear->Bioweapons->Vikwazo
Inayofuatia hapo ni teknolojia tu, yani ukizingua asset zote za kidijitali zinapotea, hupati internet, traffic & air control zinahakiwa, umeme unazimwa yaani inakuwa ni chaos juu ya chaos
 
Swala sio kuwekewa vikwazo je wataacha kuua!.!?
Hujafuatilia Mali zake.za familia na ndugu wa karibu zimekuwa frozen na hawaruhusiwi kusafiri nchi yeyote ya Ulaya au Marekani.Wamewekewa vikwazo vya kusafiri .watakuwa tu wanasafiri ndani ya mbagala hadi gongolamboto ya Urusi tu
 
Hahaha hahaha naona jamaa anadundaa tuu poor thinking haya kesho aje na orodha ya wafagia choo
 
Back
Top Bottom