"Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

"Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

Tunadanganyana sana vita bora ni ya kuuana kuachana hai kutaendeleza kufatanafatana ni visasi vya kike. Vita ya uchumi kapiganeni nyie. N.B:VITA YA UKRAINE EMENIDHIHIRISHIA KWAMBA MAREKANI NI MWANAMKE KAMA WALIVYO WANAWAKE WENGINE. eti ukinigusa upati uroda,.
 
Kuna dada kakamatwa huko US wanadhani ni msafisha choo cha Putin nae kawekewa vikwazo yaani sasa hivi usishangae US kukamata hadi mbwa koko wakidhani ni wa Putin hakika Russia imewashika kwenye asshole
 
Vita sio nzuri naona watu wana dhani ni ushabiki wa yanga na simba, kuna watu wana poteza maisha kule, watoto wadogo kabisa wana uwawa na wakati walitakiwa kua shule kisa tu putin ana hofu ya vitu ambavyo havipo. Jamaa haimini sovieti ilisha vunjika na haita rudi. Watu duniani wana taka uhuru na sio kutawaliwa na vichaa atakacho amka nacho asubuhi ndio amri
 
Back
Top Bottom