Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,528
Kwa mtamzamo wangu. Mpoki anahitaji guidance. Is a true comedian, kwa maana ana flow vizuri. Ila tu anavuka mstari.
Kwa kibongo hatujazoea mtu kukuongelea weakness zako in a comedy way. Especially in public. Mfano alisema,'Halafu siku hizi Ray kama unazidi kuwa mweupe!!' It's a fact but in Tanzanian culture, mwanaume huwa hajichubui ngozi. Ndo maana Ray ali mind. Kama ulisoma body language!
Mfano mwingine alipokuwa anataja sifa za Asha Baraka, mojawapo alisema huyu Dada Asha ni dumejike. Kwa namna moja ni kama sifa ya kuwa ni mwanamke shupavu lakini kwa namna nyingine mtu anaweza tafsiri kuwa ni msagaji!
Money Stunna kuna mahali ame quote comedians wa Amerika kwenye BET na MTV. Kiukweli culture ya America na Tanzania ni usiku na giza. So hivi vitu huwezi uka copy comedy ya Amerika ukaileta Manzese inaweza isi make sense hata kidogo. Vivyo hivyo kwa comedy ya Ifakara ukaipeleka Boston.
Mwisho wa siku narudia Mpoki anahitaji kujua cultures za watu esp kama event ni multi cultural. Kwa sababu hata kiyendo cha kumuita Mzungu halafu ukatoa joke kwa kiswahili inaweza kutafsiriwa kuwa umekuwa offensive...
you have a point......kuna madhaifu fulani fulani yalikuwepo..but generaly ni comedian mzuri..