Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,528
Ndo ujue jamaa anachekesha,hao wanaolalamika alikuwa anaumbua watu ndo walikaa hadi mwisho wa show..unadhani bila mpoki pale kuna mtu angebaki pale kwa hali ilivokuwepo?
Hakika wabongo ni wanafiki.
Mi mwenyewe nilifurahia show yake lakini sikuangalia had mwisho..ss naashangaa watu wamechukia show lakini wamekodoa macho kwenye screen hadi mwisho.