Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Falsafa za Fadlu kipindi cha pili itasababisha siku Simba ifungwe magoli mengi
Mohamed Hussein anatoa boko nyingi sana siku hizi.
Mohamed Hussein anatoa boko nyingi sana siku hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Simba ni kipindi cha pili. Magoli yote tuliyofungwa, kama tungekuwa tunacheza na timu ngumu, tungepigwa nyingi.Ridhika we kolo
Timu imechezwa vizuri mno
Mnataka mfanyiwe nini
Ni weakness ndogo tuTatizo la Simba ni kipindi cha pili. Magoli yote tuliyofungwa, kama tungekuwa tunacheza na timu ngumu, tungepigwa nyingi.
Kipindi cha pili hawavutii kabisa ukiwaangalia.Sahihi, Hii Simba inapata matokeo kwa njia sisizoridhisha kabisa.
Kabisa, kuna kitu lazima kifanyike pale mbele.Kipindi cha pili hawavutii kabisa ukiwaangalia.