Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Ni vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;
Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.
Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.
Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.
Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.
Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.
Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.