Uzi umeuelewa au unatujazia saver tu hapa, umeambiwa pesa ambayo kila timu itaipata baada ya kutinga robo fainali, aijalishi ni kutoka caf, ni pesa inayotokana na vyanzo vyote kuanzia wadhamini wa timu husika.
CAF wenyewe na fedha wanazopewa kama zawadi, mimi sijalenga zawadi za caf peke yake, kuwa muelewa, kama simba anacho chanzo kingine pengine atukijui tunaomba utuwekee hapa ni shingapi na sio blah blah, tunajua michuano ya kimataifa wadhamini wao ni Visit Tanzania basi tuwekee wanawapa shingapi