Mpunga unaoingia baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali kati ya Yanga na Simba

Mpunga unaoingia baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali kati ya Yanga na Simba

Ni vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;

Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.

Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.

Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.
Na hizo za Simba zote anakomba Muddy [emoji2960][emoji2958][emoji848]
 
Kupata hizo hela ni jambo moja, ila matumizi yake ni jambo jingine.

Usajili utakapofika, Simba itaenda kukusanya wachezaji wamafungu. Hela wanazopata, hamtoziona zinapoenda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Chezea Kanjibai wewe, unadhani zile B 26 ziliyeyukia wapi? [emoji847]
 
Kwenye huu utumbo wako kwamba Simba hawana wadhamini
Wadhamini wenu wanawapa shingapi michuano ya kimataifa? Au ni siri aitakiwi kujua? Tunajua wadhamini wenu ni visit tanzania, je wanawapa bei gani kila hatua mnayopiga kimataifa?
 
YANGA; 820MIL, KUTOKA CAF+ 1.5B KUTOKA WADHAMINI WAO KAMPUNI YA HAIER +40MIL ZAWADI YA MAMA SAMIA TOTAL=2.36BIL
Mdhamini wa Simba VISIT TANZANIA ni BURE anatangaza utalii wa nchi sio kwa malipo
Umeulizwa swali kubwa kuzidi uwezo wako, ndio maana unarudia jibu lile lile. Hapo kama ungekuwa na akili hata za Mama Samia ungezitoa, hela ambazo zipo common kwa wote kikanuni ni hizo za CAF
 
Ni vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;

Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.

Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.

Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.
Watakwambia usubirie na gemu ya Raja ndo uhesabu vizuri
 
Kila mtu apambane timu yake iwe Bora, kwa ujinga huu ndo maana vijijini watu hawana maendeleo, wakishajiona wote maskini wanaridhika na Hali zao hakuna anayewaza kujinasua ni kuombeana uchawi tu

Kwa akili hizi na hakika hata Simba na Yanga wakishuka daraja kwa pamoja watu wataona sawa tu, si tumeshuka wote!!!

Mi ni Yanga dam dam ila umeandika upuuzi tu!
We ni kolo
 
Uzi umeuelewa au unatujazia saver tu hapa, umeambiwa pesa ambayo kila timu itaipata baada ya kutinga robo fainali, aijalishi ni kutoka caf, ni pesa inayotokana na vyanzo vyote kuanzia wadhamini wa timu husika.

CAF wenyewe na fedha wanazopewa kama zawadi, mimi sijalenga zawadi za caf peke yake, kuwa muelewa, kama simba anacho chanzo kingine pengine atukijui tunaomba utuwekee hapa ni shingapi na sio blah blah, tunajua michuano ya kimataifa wadhamini wao ni Visit Tanzania basi tuwekee wanawapa shingapi
Aahhaha

Umeua mzee
 
Hii mijamaa sijui itaelimika lini, mlichokifanya ni utapeli kama utapeli mwingine, mmesign mkataba na mdhamini mpya bila ya makubaliano na mdhamini mkuu.

Msimuone sportpesa mjinga kwa kuwa amekaa kimya,, anawangoja mtolewe kwanza huko kwenye kombe lenu la mbuzi alianzishe tena.

Alafu mtoto wa kiume unakaa hapa unatubania pua eti tumeingiza hela nyingi unajumlisha na hela za utapeli, ngoja mtakapoliwa vinyeo na watu wa sportpesa ndo mtajua hamjui..
Nenda mahakamani
 
Kupata hizo hela ni jambo moja, ila matumizi yake ni jambo jingine.

Usajili utakapofika, Simba itaenda kukusanya wachezaji wamafungu. Hela wanazopata, hamtoziona zinapoenda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani ni hela zakooo??? Mbna unaumiaa sanaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;

Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.

Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.

Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.
TUNAOMBA HIZI HESABU TENA 😀 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom