Na hizo za Simba zote anakomba Muddy [emoji2960][emoji2958][emoji848]Ni vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;
Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.
Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.
Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.
[emoji2960][emoji4]Goli mbili tu tunaongoza kundi,migoli yote saba kumbe ni kumkomoa Rais Samia. Swain!!!!!!
Chezea Kanjibai wewe, unadhani zile B 26 ziliyeyukia wapi? [emoji847]Kupata hizo hela ni jambo moja, ila matumizi yake ni jambo jingine.
Usajili utakapofika, Simba itaenda kukusanya wachezaji wamafungu. Hela wanazopata, hamtoziona zinapoenda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wadhamini wenu wanawapa shingapi michuano ya kimataifa? Au ni siri aitakiwi kujua? Tunajua wadhamini wenu ni visit tanzania, je wanawapa bei gani kila hatua mnayopiga kimataifa?Kwenye huu utumbo wako kwamba Simba hawana wadhamini
Umeulizwa swali kubwa kuzidi uwezo wako, ndio maana unarudia jibu lile lile. Hapo kama ungekuwa na akili hata za Mama Samia ungezitoa, hela ambazo zipo common kwa wote kikanuni ni hizo za CAFYANGA; 820MIL, KUTOKA CAF+ 1.5B KUTOKA WADHAMINI WAO KAMPUNI YA HAIER +40MIL ZAWADI YA MAMA SAMIA TOTAL=2.36BIL
Mdhamini wa Simba VISIT TANZANIA ni BURE anatangaza utalii wa nchi sio kwa malipo
Amewapa mnayo mkononi?.au imeishia kwny vitu tuu..Tuwekee hapo uyo mdhamini anawapa shingapi, Visit Tanzania ndio mdhamini? Anawapa shingapi bwana mjuaji?
Watakwambia usubirie na gemu ya Raja ndo uhesabu vizuriNi vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;
Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.
Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.
Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.
We ni koloKila mtu apambane timu yake iwe Bora, kwa ujinga huu ndo maana vijijini watu hawana maendeleo, wakishajiona wote maskini wanaridhika na Hali zao hakuna anayewaza kujinasua ni kuombeana uchawi tu
Kwa akili hizi na hakika hata Simba na Yanga wakishuka daraja kwa pamoja watu wataona sawa tu, si tumeshuka wote!!!
Mi ni Yanga dam dam ila umeandika upuuzi tu!
AahhahaUzi umeuelewa au unatujazia saver tu hapa, umeambiwa pesa ambayo kila timu itaipata baada ya kutinga robo fainali, aijalishi ni kutoka caf, ni pesa inayotokana na vyanzo vyote kuanzia wadhamini wa timu husika.
CAF wenyewe na fedha wanazopewa kama zawadi, mimi sijalenga zawadi za caf peke yake, kuwa muelewa, kama simba anacho chanzo kingine pengine atukijui tunaomba utuwekee hapa ni shingapi na sio blah blah, tunajua michuano ya kimataifa wadhamini wao ni Visit Tanzania basi tuwekee wanawapa shingapi
Nenda mahakamaniHii mijamaa sijui itaelimika lini, mlichokifanya ni utapeli kama utapeli mwingine, mmesign mkataba na mdhamini mpya bila ya makubaliano na mdhamini mkuu.
Msimuone sportpesa mjinga kwa kuwa amekaa kimya,, anawangoja mtolewe kwanza huko kwenye kombe lenu la mbuzi alianzishe tena.
Alafu mtoto wa kiume unakaa hapa unatubania pua eti tumeingiza hela nyingi unajumlisha na hela za utapeli, ngoja mtakapoliwa vinyeo na watu wa sportpesa ndo mtajua hamjui..
Jibu kwanza hesabu zilikushinda ukiwa la ngapi 1.5b plus 45,000,000 inakuaje 1.95bTuwekee hapo uyo mdhamini anawapa shingapi, Visit Tanzania ndio mdhamini? Anawapa shingapi bwana mjuaji?
Kwani ni hela zakooo??? Mbna unaumiaa sanaaa??Kupata hizo hela ni jambo moja, ila matumizi yake ni jambo jingine.
Usajili utakapofika, Simba itaenda kukusanya wachezaji wamafungu. Hela wanazopata, hamtoziona zinapoenda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
TUNAOMBA HIZI HESABU TENA π π π π πNi vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;
Yanga: Milioni 820 kutoka CAF + Bilioni 1.5 kutoka wadhamini wao Kampuni ya Haier + Milioni 40 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 2.36.
Simba: Bilioni 1.5 kutoka CAF + Milioni 45 zawadi ya Rais Samia, jumla ni Bilioni 1.97.
Kupanga ni kuchagua, kila timu inavuna ilichopanda.