Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

Mm nafikiri mzee ameshindwa kumkuna vizuri huyu mdada. Kwa hiyo nae, anatafuta faraja, sehemu nyingine. Upwiro si mzuri ndugu yangu hasa kwa, watu waliokuwa, ndani ya ndoa. Tumuache nae apate raha alizokosa, mwanzoni.

Kwa maongez yake tu sisi tuliosoma Cuba tunagundua tu kuwa, alikosa mtu sahihi wa, kumkukuna vizuri. Sasa amepata anayekuna upele mpaka raha.
Ke akiamua upuuzi kaamua hata umkune kwa wembe wa TOPAZ bado tu atatimiza nia yake, hakawii kukusingizia unamlazimishaga akupe Tigo ilimradi tu Me udhalilike.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
SHUSHO anaonyesha ujinga wa wanawake wetu ulimbukeni wao wa hali ya juu anaongea kiingereza cha broken tupu....nashangaa mtu anamsikiliza mtu kama yule eti anahubiri duh...
 
tabia hata ufiche vipi kuna siku utajisahau utadhani ni sahihi utajiachia mitabia yako iliyojificha kwa muda mrefu itafumuka fumu...HUYO NI MZINZI ASILIA, muda wote alikuwa anajaribu kujificha amechoka amejiachia....harufu imetapakaa mitaani
 
SHUSHO anaonyesha ujinga wa wanawake wetu ulimbukeni wao wa hali ya juu anaongea kiingereza cha broken tupu....nashangaa mtu anamsikiliza mtu kama yule eti anahubiri duh...
sijui kanisa lake lipoje aise
 
Muacheni huyo dada ajipigie mapene ya wajinga waliojazana kwenye mfumo wa dini.
Mtu yeyote makini aliyekuwa na imani ya kutosha, kufunga, kusali na kufuata masharti ya dini, atagundua uzushi uliojificha ndani yake chap chap na anaweza kuamua kutumia fursa hiyo kiuchumi badala ya kiimani.

So, Shusho ana haki ya kuishi anavyotaka na si watakavyo mababu wa kiyahudi.
 
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha kdamu uliyekamilika kwa muda hata wa mwaka mmoja.
Mbona umeishupalia sana ishu ya bidada una jambo lako nyuma ua pazia, sasa kama yeye na mumewe walikua wanagombana unakataza wasiachane mpaka watiane
visu
 
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha ku
Anaitwa Christina. Hilo la Shusho tuliache kidogo.Mwanamke huwa anaitwa kwa jina lake la kwanza.
 
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha kumtumikia mungu lakgle muda wote na mashabiki huwa wanamua, mbia kuwa anazini maana ni ngumu kuwa single kwa binadamu uliyekamilika kwa muda hata wa mwaka mmoja.
Wenye uzoefu nao hao raia wanaojiimbia Gospel kwa maslahi yao bila kujua mungu Hana shida nasi wake..watueleze kwa Nini wengi wao hua na kashfa za ngono au zinaa hili linanichanganya sana..Ila wapo Tena wanateaa jamii unaweza ukaingia kichwakichwa kujua umepata mke mwema inabidi utulie usubilie kitu kizito kitue
 
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja
amekua akidhihakiwa na masahabiki zake kwenye mitandao kuwa single muda wote na mashabiki huwa wanamua, mbia kuwa anazini maana ni ngumu kuwa single kwa binadamu uliyekamilika kwa muda hata wa mwaka mmoja.
Huyu ni kabila ganii?
 
Soon atafosi kuchenji aimbe bongo flava ili apige collabo na mwana wa tandale aliyemtia wenge.

Mtasikia "ooh Mungu kanituma nihamie bongo flava, kasema huko kwenye injili kazi yake nimeimaliza"
 
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha kumtumkamilika kwa muda hata wa mwaka mmoja.
Wewe ndiye mjinga wa mwisho. Sharti ungezaliwa mwanamke basi ungeelewa. Christina muacheni kabisa awe huru, hakuna kitu kibaya kama ndoa za utotoni, desturi za makaba kama wamasai na mengine mtoto hasa wa kike hahesabiki kama binaadamu bali ni kama bidhaa ya kutotoa watoto na hana mchango.

Kilichomtokea Christina kina kundi kubwa sana la wanawake waliopitia hiyo hali ya wazazi kukataa kuwasomesha watoto wa kike na kuwaoza kisa eti watatiwa mimba huko shule. In short Christina ni mwanamke shujaa, Mungu ambariki. Hatuendi mbinguni kwa kuwa na ndoa maana hata mbinguni hakuna kuoana wala kuolewa!
 
Wewe ndiye mjinga wa mwisho. Sharti ungezaliwa mwanamke basi ungeelewa. Christina muacheni kabisa awe huru, hakuna kitu kibaya kama ndoa za utotoni, desturi za makaba kama wamasai na mengine mtoto hasa wa kike hahesabiki kama binaadamu bali ni kama bidhaa ya kutotoa watoto na hana mchango. Kilichomtokea Christina kina kundi kubwa sana la wanawake waliopitia hiyo hali ya wazazi kukataa kuwasomesha watoto wa kike na kuwaoza kisa eti watatiwa mimba huko shule. In short Christina ni mwanamke shujaa, Mungu ambariki. Hatuendi mbinguni kwa kuwa na ndoa maana hata mbinguni hakuna kuoana wala kuolewa!
Mbingu gani mwanamke anajiuza kwa simba?
Unataka kutuambia wanawake wasio na ndoa ni watawa?
Thubutuu..ni umalaya tu
 
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha kumtumikia mungu lakini nyuma ya pazia ni uongo mtupu bali ana msingizia Mungu.

Ikiwa mungu kwenye amri zake akisema kuwa usizini, na kuna baadhi ya mistari ya kitabu kitakatifu akihimiza kuwa ''nendeni duniani mkazaliane'' lakini mungu aliibariki ndoa na akaleta utaratibu maalumu kuwa mke na mume waoane, MUNGU wetu hakusema kuwa ''mwanamke au mwanaume avunje ndoa ili akamtumikie''

Ukimsikiliza Christina Shusho kwa jicho la tatu hoja yake ni batili kabisa mpaka unashangaa huyu anasoma biblia gani?? mbaya Zaidi anatumia umaarufu wake na kuanza kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa sasa sijui anataka kutengeneza kizazi cha namna gani kizazi ambacho kitakua hakitaki ndoa bali kinataka zinaa tu

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Shusho hazini au hana mtu wa pembeni anayemsaidia haja zake hakuna kitu kama hicho, kwa tamko lake la kusema kuwa kaachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu huu ni ushetani unaohimiza zinaa kwa mashabiki wake wa nyimbo zake za kiinjili

Nitoe ushauri wangu kwa wadada/wanawake waliopo ndani ya ndoa na wanaotaka kuolewa wapuuzie upuuzi wa shusho kwani Mungu hakuandika kuwa mtu ache ndoa yake ili akamtumikie ila anachokifanya shusho ni kujificha tu ili asiulizwe na watu kwa nini unaishi single mother na wakati wewe ni mtumishi wa mungu?
amekua akidhihakiwa na masahabiki zake kwenye mitandao kuwa single muda wote na mashabiki huwa wanamua, mbia kuwa anazini maana ni ngumu kuwa single kwa binadamu uliyekamilika kwa muda hata wa mwaka mmoja.
We ni punguani habithi maisha ya Christina yanakuhusu nini ?
 
Back
Top Bottom