Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukamata bodaboda hadi kutumia risasi za moto kweli? Ndo maana Magufuli alipiga marufuku haya majambazi kukamata bodaboda.Majambazi waliopo kwa mujibu wa sheria yameanza kuuana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nini kosa la bodaboda lililomfanya askari amkamate, isijekuwa tamaa yao ya rushwaKwa hali isiyo ya kawaida, Askari aitwae NANGU amepigwa risasi na kujeruhiwa vibaya na askari mwenzie kwenye harakati za kukamata bodaboda, tunaendelea kulifuatilia swala hili kwa ukaribu kwa maelezo ya kina.
Kwa hali isiyo ya kawaida, Askari aitwae NANGU amepigwa risasi na kujeruhiwa vibaya na askari mwenzie kwenye harakati za kukamata bodaboda, tunaendelea kulifuatilia swala hili kwa ukaribu kwa maelezo ya kina.