Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Aisee shida ni nyingi na mengi anaongea ukweli lakini anachokosea anatumia lugha ambayo sio nzuri hata Kam ana logic lakini huwez kumuelewaNyie mnaona mpo sawa?hakuna shida yoyote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee shida ni nyingi na mengi anaongea ukweli lakini anachokosea anatumia lugha ambayo sio nzuri hata Kam ana logic lakini huwez kumuelewaNyie mnaona mpo sawa?hakuna shida yoyote?
Zitaje hizo Haki??Nyie mnaona mpo sawa?hakuna shida yoyote?
Huyu ndugu cmjui ila kuna kipindi alileta uzi flani hmu .... mwisho wa siku ile story akaja kuiachia njiani from that day huyu jamaa nlitokea kumchukia .... nikaona dizain kama anazingua iviiiiHuyu jamaa anajita mpwayungu village anakera sana,
Iv wewe mpwayungu village Unajua shida na tabu za ma nesi, na watu wenye taaluma mbalimbali ambao ni watumishi wa serikali?????
Lakn umekuwa mtu wa ajabu sana unadharau walimu na kuwaona kama wao ni wajinga.
Acha mara moja hii tabia yako mbaya.
Na wajinga wote mnao dharau hii fani ya ualimu kwa taarifa yenu walimu hatuna shida na tuna amani kabisa na kazi yetu pedwa.
#mshahara haujawahi tosha kwa mtu yeyote
I Know..atleast anapaza sauti, be positive utamuelewa!Aisee shida ni nyingi na mengi anaongea ukweli lakini anachokosea anatumia lugha ambayo sio nzuri hata Kam ana logic lakini huwez kumuelewa
😂😂😂Ngoja niandae spana za kufa mtu naona nati zenu bado zimelegea[emoji35]
Madam!!anachokosea ni lugha tu anayotumia kufikisha ujumbe
NiambieMadam!!
Yule demu wako aliyekugongea mwalimu mwenzio kipindi kile kabla haujaacha kazi ya ualimu nasikia ana watoto watano Sasa hivi. Mwalimu ameitikia vizuri wito wa late John Magufuli wa "fyatueni tu watoto acheni kujibana bana"Ngoja niandae spana za kufa mtu naona nati zenu bado zimelegea[emoji35]
Poa.Niambie
Na 2 ndo sahihi ila la kwanza litaumiza ukoo wake 😂 hawana makosaPoa.
Naekekea kwa Mzee mwwnzangu mshana Jr nimpe adhabu ya kumloga kidogo huyu mponda walimu Mana amezidi sana.
Nichagulie adhabu Kati ya hizi;
1.Tumtupie kijini shoga Cha aftatu aangaike nacho mwaka mzima maana ana thread yakekaandika juzi anatamani angezaliwa mwanamke
2.Tumtoe busha (mshipa ngiri) wenye ukubwa wa kilo kumi ili awe anavaa msuli kutwa kucha Kama watu wa pwani.
Chagua moja tafadhali madam.
🤣 To yeye sio kaka mkuuKaka tutalipwa mbinguni huu ni wito kaka, najua hii kazi ni ngumu lakini haina jinsi, muhimu turidhike tu
HahahahaNgoja niandae spana za kufa mtu naona nati zenu bado zimelegea manina [emoji35]
Ndo vizuri tunachangamshanaDada mkuu
Naona mtanange mkali
Waalimu vs mwalimu
Mnyoosheni vilivyo naona jana alichafua hali ya hewa.Ndo vizuri tunachangamshana
🤣🤣🤣Huyo ni ana Vituko tu.,.. don't take seriousMnyoosheni vilivyo naona jana alichafua hali ya hewa.