Mpwayungu village acha tabia za kijinga kudharua walimu

Mpwayungu village acha tabia za kijinga kudharua walimu

Huyu jamaa anajita mpwayungu village anakera sana,
Iv wewe mpwayungu village Unajua shida na tabu za ma nesi, na watu wenye taaluma mbalimbali ambao ni watumishi wa serikali?????

Lakn umekuwa mtu wa ajabu sana unadharau walimu na kuwaona kama wao ni wajinga.
Acha mara moja hii tabia yako mbaya.
Na wajinga wote mnao dharau hii fani ya ualimu kwa taarifa yenu walimu hatuna shida na tuna amani kabisa na kazi yetu pedwa.
#mshahara haujawahi tosha kwa mtu yeyote
Huyu ndugu cmjui ila kuna kipindi alileta uzi flani hmu .... mwisho wa siku ile story akaja kuiachia njiani from that day huyu jamaa nlitokea kumchukia .... nikaona dizain kama anazingua iviiii
 
Ngoja niandae spana za kufa mtu naona nati zenu bado zimelegea[emoji35]
Yule demu wako aliyekugongea mwalimu mwenzio kipindi kile kabla haujaacha kazi ya ualimu nasikia ana watoto watano Sasa hivi. Mwalimu ameitikia vizuri wito wa late John Magufuli wa "fyatueni tu watoto acheni kujibana bana"

Kongole kwake.
 
Poa.

Naekekea kwa Mzee mwwnzangu mshana Jr nimpe adhabu ya kumloga kidogo huyu mponda walimu Mana amezidi sana.

Nichagulie adhabu Kati ya hizi;

1.Tumtupie kijini shoga Cha aftatu aangaike nacho mwaka mzima maana ana thread yakekaandika juzi anatamani angezaliwa mwanamke

2.Tumtoe busha (mshipa ngiri) wenye ukubwa wa kilo kumi ili awe anavaa msuli kutwa kucha Kama watu wa pwani.

Chagua moja tafadhali madam.
 
Poa.

Naekekea kwa Mzee mwwnzangu mshana Jr nimpe adhabu ya kumloga kidogo huyu mponda walimu Mana amezidi sana.

Nichagulie adhabu Kati ya hizi;

1.Tumtupie kijini shoga Cha aftatu aangaike nacho mwaka mzima maana ana thread yakekaandika juzi anatamani angezaliwa mwanamke

2.Tumtoe busha (mshipa ngiri) wenye ukubwa wa kilo kumi ili awe anavaa msuli kutwa kucha Kama watu wa pwani.

Chagua moja tafadhali madam.
Na 2 ndo sahihi ila la kwanza litaumiza ukoo wake 😂 hawana makosa
 
Back
Top Bottom