desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
We unaenda kukopa na kukabidhi ATM card kwanini usidharaulikeIv Kuna watu wanafanya Mambo ya hovyo kama madktar, manesi, ma injinia?? Acheni chuki na roho Mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaenda kukopa na kukabidhi ATM card kwanini usidharaulikeIv Kuna watu wanafanya Mambo ya hovyo kama madktar, manesi, ma injinia?? Acheni chuki na roho Mbaya
We jamaa una matatizo kweli aisee, sasa hao madktar wanao lewa hadi wanajikokolea vip wao?? Hao manes wanao liwa kimasihara night shift he?? Acha chukiWe unaenda kukopa na kukabidhi ATM card kwanini usidharaulike
Wanaokabidhi kadi ni karibu watumishi wote,why walimu!?We unaenda kukopa na kukabidhi ATM card kwanini usidharaulike
Hizi ni chuki tu, madktar kibao Wana madeni kama yote mitaaniWanaokabidhi kadi ni karibu watumishi wote,why walimu!?
Umeongea vizuri, ila ulomsaidia hajui. Amekujibu utumbo tuu. Msamehe buretatizo serikali imechangia pakubwa sana kudharaulika kwa kada ya ualimu hila mdah hupo wanaweza wakasawazisha aiwezekan mtu na degree ualimu anayeanza kazi anapitwa mshahara na darasa la saba wa TPDF very sad mama Samia wachungulie walimu mei mosi hii
Unamtetea ticha mwenzako🤣🤣🤣Huyo ni ana Vituko tu.,.. don't take serious
Umeamua kupambana na madaktari.Hizi ni chuki tu, madktar kibao Wana madeni kama yote mitaani
Maskin tu Wana Maisha gani madaktariUmeamua kupambana na madaktari.
Imeisha ndugu ni mitizamo tu utofautiana ni kawaidaUmeongea vizuri, ila ulomsaidia hajui. Amekujibu utumbo tuu. Msamehe bure
Hatuna mwalimu kama huyo na limepigwa ban na wote watakaomsapot mpwayungu village tutakula nao Sahan mojaUngejua ni mwalimu mwenzenu ngazi ya diploma basi ungeachana naye
Yule ni mwalimu trust me sema alikosa ajira tuHatuna mwalimu kama huyo na limepigwa ban na wote watakaomsapot mpwayungu village tutakula nao Sahan moja
Mpwayungu sasa hivi kashahamia kwenye group la mikeka huko anabet tu na akina Rickboy Mzee wa kula tunda kimasiharaSalamu wote.Huwezi kuta mtoto wa Raisi mstaafu ni mwalimu.Hawa ni watoto wa wakulima na watu wa chini kabisa.
Umekua na tabia ya kuwabeza na kuwatukana walimu humu na uongozi unakuangalia. Mimi na Walimu wenzangu hiki kitendo tunakilaani kabisa.
Kila mada walimu na huna mada nyingine? Wote humu mmefundishwa na walimu iweje mnawakejeli?
Ukiendelea na tabia hii hutafanikiwa katika maisha mana roho za walimu zinasononeka.
Huo mshahara mdogo wanaolipwa hawajawahi kukuomba au kukulalamikia uwakopeshe.
Mpwayungu Village acha hii tabia Mara moja
Tajiri anabet?Mpwayungu sasa hivi kashahamia kwenye group la mikeka huko anabet tu na akina Rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Tajiri yako anabeti 24/7 [emoji28][emoji28][emoji28]Tajiri anabet?