Mpwayungu village acha tabia za kijinga kudharua walimu

Kitendo cha walimu kuendesha maisha yao kwa mikopo kimechangia hizi shida
 
Kaka tutalipwa mbinguni huu ni wito kaka, najua hii kazi ni ngumu lakini haina jinsi, muhimu turidhike tu
[emoji38][emoji38] kauli kama hizi ndio zinafanya watu wawadharau walimu. Familia nyingi tunazotoka zina angalau walimu wawili, tunaona changamoto zao, sasa wewe kuja kusema watalipwa mbinguni kwani wanafundisha mbinguni?

Naweza nisikubaliane na kauli za memba uliemtaja, lakini ni wazi kuwa walimu wanahitaji kuboreshewa mishahara na wengine mazingira ya kazi.
 
..ahh wapi! mbona yule jamaa mkurugenzi kamwambia arudi darasani kufundisha amegoma km ni kazi pendwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…