Mr. Blue: Mabinti walikuwa wanajipanga maskani kunisubiria, nachagua wa kuondoka nae

Mr. Blue: Mabinti walikuwa wanajipanga maskani kunisubiria, nachagua wa kuondoka nae

Mafanikio ya wasinii wengi (bongo fleva vs bongo movie ) ni kutembea na wanawake wengi... hilo linaendelea kujidhihirisha... Hongera Mr. Blue kwa mafanikio ya hali ya juu.
 
Mpaka huu mwezi uishe atakuwa amefichua siri zote aisee
 
Huyu mtoto aliweka kalikiti kichwan tunamuona anajiita staaa?HV bongo tumerogwa na nan mpaka kyngonoka sana tunajisifia jambo LA aibu hili
 
Naiona Tanzania ya viwanda
Tanzania ya viwanda siyo ... viwanda vya ngono itakuwa
MWAKA HUU ANKALI MKULU KUKAYA ATAKOMA...

TAIFA LA VIWANDA HALIWEZI KUJA KWA MAWAZO HAYA YA BLUE NA HAO WALIOKUWA WAKIENDA MASKANI KUSUBIRIA KING MSWATI ACHAGUWE KINYAMA CHA KUTAFUNA USIKU HUO.....

TAIFA LA VIWANDA BADO NI NDOTO INAYOITAJI ONGEZEKO LA MASAA YA USIKU ILI IKAMILIKE.
 
Blue alikuwa HB sana enzi hizo anatoa blue blue kiss kiss mapozi hadi 2006 hivi nilimuona live alikuwa anapapatikiwa na mademu kinoma...kwa sasa u-HB kwisha.

Katoka HB kahamia HP.
 
Na UKIMWI utakuwa umejipanga kwake
sio kweli kama ni hivo najua wanawake tungewapoteza wengi, mwanamke ambae hat**obw.i sana minimun ni 500 wale wanananiliwa haswa matobo yao ni 1000 na kwenda juu.
 
Back
Top Bottom