Mr Blue ndio Nyani Mzee kwenye tsnia ya muziki bongo

Tid na qchifu walijuta kumshilikisha kwenye ile songi

Kumbuka pia ile ya dully na josilin kariakoo aliwavuniki ikasemekana dully alitumia utundu kuongeza vase ya nne namjubali mno huyu kijana
 

Attachments

  • Screenshot_20170219-003828.png
    20.3 KB · Views: 30
Ili umpate Blue, inabidi utaje malegendary 10, ukitaja wa5 Blue hatii sio pua tu, hata kamasi! Ona hawa hapa:
1. Joseph Mbilinyi
2. Fareed Kubanda.
3. Joseph Haule.
4. Juma Mchopanga.
5. Albert Mangair.
Kama hutaki sikulazimishi, kaa na ubishi wako!
Mkuu hilo sibishi sasa wewe unakurupuka tu unakuja kuovertake thread mimi nimemzungumzia blue sasa hao uliowataja wamo kwenye uzi huu ingependeza ungesema achilia mbali blue kuna hawa ndo ukataja hiyo orodha yako hayupo anayekupinga upo sawa mkuu.
 
Imenibidi nimutumie Msanii Nikki mbishi katika moja ya mistari yake anasema-
"Usisubiri Mpaka nife ndio unisifu uandike Wasifu,nizikwe nisahaulike zipite siku"

Hiki ulichofanya "Dr.adms" ni kitu safi sana, Sifa inapendeza mtu akiwa hai.
Binadamu watukupa sifa ambazo unasitahili ukiwa kaburini.

Mr.blue yupo vyema sana kadumu katika ngumu hili sio jambo la kubeza hata kidogo.

-Heshima kwake!
 
Mkuu hilo sibishi sasa wewe unakurupuka tu unakuja kuovertake thread mimi nimemzungumzia blue sasa hao uliowataja wamo kwenye uzi huu ingependeza ungesema achilia mbali blue kuna hawa ndo ukataja hiyo orodha yako hayupo anayekupinga upo sawa mkuu.
Sawa Mr. Blue. Wee mkali.
 
Ili umpate Blue, inabidi utaje malegendary 10, ukitaja wa5 Blue hatii sio pua tu, hata kamasi! Ona hawa hapa:
1. Joseph Mbilinyi
2. Fareed Kubanda.
3. Joseph Haule.
4. Juma Mchopanga.
5. Albert Mangair.
Kama hutaki sikulazimishi, kaa na ubishi wako!
Kula likes kumi
 
Mandojo na domokaya hawa watu nawakubali mno!

Hasa nikiusikilza wimbo wa "Dingi" .
 
Ili umpate Blue, inabidi utaje malegendary 10, ukitaja wa5 Blue hatii sio pua tu, hata kamasi! Ona hawa hapa:
1. Joseph Mbilinyi
2. Fareed Kubanda.
3. Joseph Haule.
4. Juma Mchopanga.
5. Albert Mangair.
Kama hutaki sikulazimishi, kaa na ubishi wako!
toa mmoja weka necha kwny top 5
 
i like nyimbo yake inaitwa "nipo nilikuwepo na nitakuwepo " ni bonge la song
 
Ahsante sana. Umenijuza tofauti yangu na mtoa mada.

Ngoja nikupe mfano. Wakati SUGU anahit, anakuja kutuimbia shule za Moro town back in mid 1990s pale Forest Hill, Kigurunyembe, Moro Sec, n.k Sijui Blue alikuwa wapi!

SUGU anapanda jukwaani, MANGO GARDEN, analipwa, mtoto wa kitaa AFANDE SELE, anapewa MIC na SUGU anaimba bure ili tu atoke!

AFANDE anaandika, anaimba anatuskilizisha ngoma huku tukimpamba, hatimaye SUGU anambeba ktk ngoma MIKONONI MWA POLISI, Afande anarudi Morogoro anasimulia mtaa mzima!

Nilikuwa DSM wakati Prof Jay anaazima koti la Jeshi la mchizi wake RAMADHANI baharia wa CAPE TOWN, akapande nalo stejini wakati albam ya kwanza hata haijakamilika, RAMADHANI anatukusanya madogo wa kitaa tukamshangilie prof jizze, Blue sijui alikuwa wapi!

Nikiwa kidato cha 5, Fa alikuwa kidato cha 6 PCM. wakati Fa anaruka fence usiku kwenda makumbusho kupiga tizz na akina Juma Mchopanga, anakuja kutoka na INGEKUWA VP, Blue simjui!

Kwa umri wangu ukintajia Malegendary nitakuelewa ukitaja kizazi hiki! Lakini hawa watoto wa Mulugo wapo sahihi kumtaja Blue kama legendary wao!
 
Ili umpate Blue, inabidi utaje malegendary 10, ukitaja wa5 Blue hatii sio pua tu, hata kamasi! Ona hawa hapa:
1. Joseph Mbilinyi
2. Fareed Kubanda.
3. Joseph Haule.
4. Juma Mchopanga.
5. Albert Mangair.
Kama hutaki sikulazimishi, kaa na ubishi wako!
Acha wivu mkuu..mkubali mtu kwa kazi yake,jamaa kasema ni mtu ambaye mpaka leo akitoa ngoma bado blue anakubalika tofaut na hao uliowataja wew..ata ukienda kwenye show blue anakubalika kwa sasa kuliko hao..hao uliowataja kweli ni malegendary wa music ila ni blue ni legendary mpaka leo mm mwenywe namkubali kazi zake hajachuja kama hao uliowataja
 
Mr Blue si nimeshakukubali Mkuu. Watu wa hipo hop hatuna roho hizo jamaa!
 
Huo moto si mchezo yaani zile vesi zilikua zinatiririka hadi unasahau kama hizi ni tatu ndani ya moja.
Mpaka Sasa huo wimbo huwa sichoki kuusikiliza,
Wasanii wa kipindi cha nyuma walikuwa wanaandika nyimbo nzuri sana na zenye Jumbe zilizo shiba sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…