Mr Blue ndio Nyani Mzee kwenye tsnia ya muziki bongo

Ahsante sana. Umenijuza tofauti yangu na mtoa mada.

Ngoja nikupe mfano. Wakati SUGU anahit, anakuja kutuimbia shule za Moro town back in mid 1990s pale Forest Hill, Kigurunyembe, Moro Sec, n.k Sijui Blue alikuwa wapi!...
Hahahaha mkuu hapa sasa kingojewe kizazi cha Young Killah...kije kusema jamaa ni Legendary.
 
Mkuu kiboko wa yote ni dully sykes yeye ndo hachuji kabisa yani
 
Kwel mkuu jamaa amejitahidi kukomaa kwenye game.
 
Totally wrong;
Malegendary bongo fleva wapo wengi sana, kwa hiyo kumuita Blue legend haimaanishi hao wengine sio malegend. Kila mmoja amefanya kazi nzuri kwa wakati wake na ndo maana leo Cr7 ni legend pale Madrid lkn hiyo haimaanishi Raul au R9 au Zidane sio malegend au useme watoto wa siku hizi wanamuona Robben Legend tu kwa sababu hawakuwahi kuwaona akina Bergkamp na Kluvert.
Mtazamo wako bro hauko sawa kabisa, Blue atabaki kuwa legend na hao kina Nature, Sugu, Afande nao pia ni Malegend, kila mmoja ana yake ya kujivunia.
By the way ukiacha story zako za kitaani sijui Profesa kaomba gwanda za jeshi,sijui afande akapewa lift na sugu, nyimbo zao zilizowatoa nilikuwepo na nilizisikia lakini bado naamini Blue ni moja ya malegend bongo fleva
 
Kwani unachobisha ni nini mkuu? ?kaongelewa Mr blue hapa mtoa maada hajasema kama blue ni bora kuliko hao uliowataja sasa nashangaa unabishana bishana
 
Ili umpate Blue, inabidi utaje malegendary 10, ukitaja wa5 Blue hatii sio pua tu, hata kamasi! Ona hawa hapa:
1. Joseph Mbilinyi
2. Fareed Kubanda.
3. Joseph Haule.
4. Juma Mchopanga.
5. Albert Mangair.
Kama hutaki sikulazimishi, kaa na ubishi wako!
kigezo gani kinatumika kumpa mtu cheo cha u-legendary?
 
mkuu mbona kama ulikuwa unatafuta upenyo wa kuonesha umeanza kusikiliza mziki kitambo?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wabongo tuna shida sana
 
Dogo namkubali sana yupo vizuri naona kustiki katika imani yake na kuwa kifamilia zaidi vimemshape kimaadili na kulinda kitu kinacho mpa ugali wa kila siku ambacho ni mziki asimame vivyo hivyo.
 
Blue ni legend, I agree kwamba ni one of the best talents ambazo tumewahi kuwa nazo kwenye bongofleva, namuheshimu sana mtu aliye perfect kwenye both kuimba na kuchana. Na ni wachache sana wanaoweza kumaintain kufanya hivyo kwa zaidi ya miaka 10
Kama Chid Beenz angepunguza ujuaji na yeye angekuwa kwenye level hizi.

Kuanzia Mwaka 2006 Kwa upande wangu sijaona Rapper mpya mkali kuliko Chid Beenz
Ili umpate Blue, inabidi utaje malegendary 10, ukitaja wa5 Blue hatii sio pua tu, hata kamasi! Ona hawa hapa:
1. Joseph Mbilinyi
2. Fareed Kubanda.
3. Joseph Haule.
4. Juma Mchopanga.
5. Albert Mangair.
Kama hutaki sikulazimishi, kaa na ubishi wako!
Mkuu sikupingi ila kila mtu na mtazamo wake hasa zinapokuja list kama hizi.

Jamaa kwa upande kwenye list kama hiyo lazima blue angekuwepo...Na mimi kwa upande wangu lazima Joh Makini angekuwepo so we not the same Mkuu.
 
bashite alitaka kumuangusha lakini bado Ana shine
 
Mkuu kinachotokea ni kuwa huyo Young Killer ataweza kubaki pale halipo kwa miaka yote hiyo?!

Maana kuna wasanii kibao waliotoka pamoja na Blue wakati ule ila speed zao zimekata njiani.

Kama unakumbuka mtu kama Bab Lee,Ab skills,Hakeem 5,Joselin na hapa juzi kati Chid Beenz wote wamepotea ila Blue bado yupo.

Mimi nadhani haiusiani na shabiki peke yake na msanii Ana nafasi kubwa zaidi.
 
Castr Kumbukumbu zinanionyesha miaka ambayo wakina Mandojo walikuwa wakikimbiza ndio miaka ambayo Mr. Blue aliibuka, just imagine hao wakina Mandojo wamepotea lini? Tukubali tu dogo kaweza kamaintain kwa mda mrefu kitu kinachowashinda wengi, ishu sio umri.Na sio kweli kwamba watu tuliofatilia bongofleva tangu enzi za kina 2 Proud (Sugu) hatumo humu, tupo wengi, ukitaka kujua hilo fungua thread inayohusu wasanii wa zamani uone raia wanavyofunguka
 
Kumbukumbu zinanionyesha miaka ambayo wakina Mandojo walikuwa wakikimbiza ndio miaka ambayo Mr. Blue aliibuka, just imagine hao wakina Mandojo wamepotea lini? Tukubali tu dogo kaweza kamaintain kwa mda mrefu kitu kinachowashinda wengi, ishu sio umri.
Wengi tu walikuwepo wakina Bab Lee,Jebby,Joselin,Ab skills na hapo juzi kati wakina Chid Beenz ila wote wamepotea Heri Samir bado yupo kwenye chart.

kumkataa jamaa ni kujinyima raha tu Mkuu.
 
Busy kwenye game huyu jamaa safi sana kinachofanya azidi kuheshimika ni roho yake nzr, I mziki mzr bila kiki, kajiolea zake warda hatak scandal na ule ubishow wakijanja sio wakujiskiaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…