Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Kama amechimbia akiba sehemu nampongeza sana kwa kazi nzuri aliyofanya,atafute wakili mzuri jela kitu gani akifungwa mwaka akirudi mtaani watu bado wamepigika tu.Real Hustlers do a small amount of time.Mfano Mponjoli Malakasuka,Don King,Aden Rage,Sonko.
 
Kuna jinsi hela inakuwa chungu halafu unasikia kuwa hazirudi huku ukiwa na tumaini kuu kuwa hela utazivuna.

Sikuwahi kuelewa jinsi ya kuvuna wale kuku..nilieleweshwa sana siku hiyo nyumbani lakini wapi.

Kweli maisha ni akili..raha alizokula bro huyo toka 2017.Sasa kwa mfano tu hapo wakatia tia maneno akatoa za uchaguzi kama b10.
B7 akaachiwa then sisi tuliowekeza kuku wetu wa Kidigital tukatangaziwa jamaa amefilisiwa nani atajua?

Kwa sababu huyo jamaa unajua anaweza kuchangia kujengwa kwa Steigler Gorgee kule..au hata akachangia kujenga SGR kipande kidogo tu.
Nchii hii hela zipo na kuna namna tu

Wazee wenzangu wa Mzigo wa kubet twendeni zetu..Kuna Man U leo...kule Inter..
Nanukuuu nchi hii ni tajiri mtembee kifua mbele[emoji3][emoji3]
 
Kaweka mil 7 kapata faida mil.52 ndani ya miezi 4.

Naomba serikali isimfunge huyu jamaa , na mi nipate huu mkwanja

 
Nyakati za JK type hizi zilikuwa zinapeta tu... tena wanaimbiwa nyimbo za kuabudu zinapigwa redioni
 
Back
Top Bottom