Mungo Park
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 2,115
- 1,834
Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara
Tahadhari za kutosha zilishatolewa humu..
Tahadhari za kutosha zilishatolewa humu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi wanafreeze account zako zote hadi kesi iishe na huo mpunga qote wanachukua. Hubaki na kitu.Hivi walioandika barua na kukiri wakalipa na pesa WAMETOKA JELA TAYARI????
Duuuh kwahiyo alianza kitambo kupiga watuHuyu dogo ni tapeli,si ndio huyuhuyu aliwapiga hela watu katika mradi wake wa kukopesha kupitia mtandao wa L-PESA?
Kwa hasira walizonazo watamzini bila ky17B huyu kavunja records ya ontorio wa forex, rudi tena ontorio wajinga wamezaliwa wengine uwe bilionea saivi ata leizer hakufikii
Hiyo kitu inalipa sana tu,brokers wenye mitaji wanapiga pasi ndefu tuGemstone yenyewe Sahv haiko hivyo
Hata biashara ya haramu haina faida hiyo
Eti weka 7mln kwa mwaka upate 52mln
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na kule ashaanzisha kampeni ya kushinda laki sijui me nawasomaa tu yani saza hivi wataliaaa
Mr kuku tofauti yake na matapeli wa mjini kina ndama,papa msofe ni ndogo.yeye kaja na kufuga kuku na kujenga mabanda unampa pesa anakufugia....hakuna biashara inayozalisha nusu kwa nusu hata siku moja yani uweke 10m halafu baada ya mda flani upate 10m.Ajira hakuna, tukijiajiri mnatukamata kwa makosa ya uhujumu uchumi. Yaani sijui tufanye nini kwenye nchi yetu hii.
Nadhani mpaka mwenzangu amekusanya hela yote hiyo mamlaka zilikuwa wapi kumchunguza toka mwanzoni???
Imagine Mr kuku ni mlipa kodi mzuri. Binafsi naona huku ni kukatishana tamaa...Lakini ipo siku nchi hii itaongozwa na chama kingine ila si CCM!
Mwenye sikiona asikie....[emoji1548]
Rugemalila na seth wamejaza mawakili kibao wazuri,ila kwenye utakatishaji ni ngumu kuchomoa mana hapo unakuta anakesi karibia 20 kapewaKama amechimbia akiba sehemu nampongeza sana kwa kazi nzuri aliyofanya,atafute wakili mzuri jela kitu gani akifungwa mwaka akirudi mtaani watu bado wamepigika tu.Real Hustlers do a small amount of time.Mfano Mponjoli Malakasuka,Don King,Aden Rage,Sonko.
Daaah kumbe mlipigwa wengi,hela yako kula mwenyewe sijawahi amini mtuMi toka nitendwe na Forex sipatikani kijinga.
Biashara ya kuku gani uweke 3m badae upate faida ya 3m zingine,ni kuku wa dhahabu hao?Lakini si anakusanya pesa alafu anafanyia biashara ya kuku?????
Hawa ni matapeli,angalia tu sura yake hata kumiliki 10m hajawahi.hapo unakuta kapanga au anaishi kwa shemejiKaweka mil 7 kapata faida mil.52 ndani ya miezi 4.
Naomba serikali isimfunge huyu jamaa , na mi nipate huu mkwanja
Mpaka hapo kwisha habari yakeKumbe moja kati ya Shauri analohusishwa nalo ni Uhujumu Uchumi!? Kesi imeisha, hapo watalamba mpunga wote! Kijana anarudi mtaani mweupee
Somjo tuu hizo serikali ina dini mbona katika kuapisha vinatumika vitabu vya dini?Dhambi ni kwako wewe unayeamini dini,serikali haina dini
Tatizo la JF inabidi ufatishe wengi bila kuhoji.Mr kuku tofauti yake na matapeli wa mjini kina ndama,papa msofe ni ndogo.yeye kaja na kufuga kuku na kujenga mabanda unampa pesa anakufugia....hakuna biashara inayozalisha nusu kwa nusu hata siku moja yani uweke 10m halafu baada ya mda flani upate 10m.
Siku zote ukiona hivyo jua ni unapigwa tu
Na wasirudishiwe fedha hizo Hao wajinga tuHizo hela kama vile za DECI zilivyopotea kimya kimya na hizi nazo hamtajua zimetoweka vipi.
Hapo hiyo kesi itaoigwa danadana. Jamaa watamkatia mpunga kidogo atakwenda jificha mafichoni... Wakimpatia hata bilioni moja tu inamtosha kuanza maisha mapya..... Wao CCM wanabakia na hizo bil 16 wanapeleka katika kampeni.
Kwa kifupi m'mewachangia pesa za kampeni CCM.....
Ilianza tangu 2017 je katika miaka hiyo yote mitatu kuna mtu hakulipwa ??Biashara ya kuku gani uweke 3m badae upate faida ya 3m zingine,ni kuku wa dhahabu hao?
Watu wengi waliweka pesa huko hasa wastaafu,chukulia alikua na wateja 1000 labda waliovuna ni 300 tu waliobaki ndio hawa wanaolia wamepigwa....nimesoma mkataba wake kua ukiwekeza baada ya siku 120 unapata 70%...hii faida hata barrick gold hawajawahi kupata 70% faida kwenye dhahabu iweje mr kokoliko apate kwa kufungaTatizo la JF inabidi ufatishe wengi bila kuhoji.
Walioweka pesa siwote wamerejeshewa kama mkataba unavyosema tangu 2017 kuna ambaye hakulipwa.