Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na kule ashaanzisha kampeni ya kushinda laki sijui me nawasomaa tu yani saza hivi wataliaaa

Ontario ashajua wajinga hawaishi kwasasa Twitter anaendelea kuwajaza ili awaingize kwenye 18 ,technic ya kugawa pesa target awakusanye nyumbu wengi ili akianza projects zake za kuwapiga within short time awe ashawatapeli na kusepa...Once a tapeli always tapeli ,Sitajuka kumuamini Ontario hata siku moja hata akisema anipe pesa nitamwambia lipa bank hakawaii kukupa pesa feki.
 
Ajira hakuna, tukijiajiri mnatukamata kwa makosa ya uhujumu uchumi. Yaani sijui tufanye nini kwenye nchi yetu hii.

Nadhani mpaka mwenzangu amekusanya hela yote hiyo mamlaka zilikuwa wapi kumchunguza toka mwanzoni???

Imagine Mr kuku ni mlipa kodi mzuri. Binafsi naona huku ni kukatishana tamaa...Lakini ipo siku nchi hii itaongozwa na chama kingine ila si CCM!

Mwenye sikiona asikie....[emoji1548]
Mr kuku tofauti yake na matapeli wa mjini kina ndama,papa msofe ni ndogo.yeye kaja na kufuga kuku na kujenga mabanda unampa pesa anakufugia....hakuna biashara inayozalisha nusu kwa nusu hata siku moja yani uweke 10m halafu baada ya mda flani upate 10m.
Siku zote ukiona hivyo jua ni unapigwa tu
 
Kama amechimbia akiba sehemu nampongeza sana kwa kazi nzuri aliyofanya,atafute wakili mzuri jela kitu gani akifungwa mwaka akirudi mtaani watu bado wamepigika tu.Real Hustlers do a small amount of time.Mfano Mponjoli Malakasuka,Don King,Aden Rage,Sonko.
Rugemalila na seth wamejaza mawakili kibao wazuri,ila kwenye utakatishaji ni ngumu kuchomoa mana hapo unakuta anakesi karibia 20 kapewa
 
Mr kuku tofauti yake na matapeli wa mjini kina ndama,papa msofe ni ndogo.yeye kaja na kufuga kuku na kujenga mabanda unampa pesa anakufugia....hakuna biashara inayozalisha nusu kwa nusu hata siku moja yani uweke 10m halafu baada ya mda flani upate 10m.
Siku zote ukiona hivyo jua ni unapigwa tu
Tatizo la JF inabidi ufatishe wengi bila kuhoji.

Walioweka pesa siwote wamerejeshewa kama mkataba unavyosema tangu 2017 kuna ambaye hakulipwa.
 
Hizo hela kama vile za DECI zilivyopotea kimya kimya na hizi nazo hamtajua zimetoweka vipi.

Hapo hiyo kesi itaoigwa danadana. Jamaa watamkatia mpunga kidogo atakwenda jificha mafichoni... Wakimpatia hata bilioni moja tu inamtosha kuanza maisha mapya..... Wao CCM wanabakia na hizo bil 16 wanapeleka katika kampeni.

Kwa kifupi m'mewachangia pesa za kampeni CCM.....
Na wasirudishiwe fedha hizo Hao wajinga tu
Wapenda mseleleko

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la JF inabidi ufatishe wengi bila kuhoji.

Walioweka pesa siwote wamerejeshewa kama mkataba unavyosema tangu 2017 kuna ambaye hakulipwa.
Watu wengi waliweka pesa huko hasa wastaafu,chukulia alikua na wateja 1000 labda waliovuna ni 300 tu waliobaki ndio hawa wanaolia wamepigwa....nimesoma mkataba wake kua ukiwekeza baada ya siku 120 unapata 70%...hii faida hata barrick gold hawajawahi kupata 70% faida kwenye dhahabu iweje mr kokoliko apate kwa kufunga
 
Back
Top Bottom