Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Wewe una reasoning kwenye ubongo wako kweli.

Ukinipa 500,000 mwezi wa kwanza nikulipe baada ya miezi 6 akija mwengine ndani ya muda huo anipe 500,000 nimlipe mwezi wa 12.

Aliye nipa mwezi wa kwanza natakiwa kumlipa 1M nitachukua 500K aliyenipa mwengine 500K ya kujazia ili iwe 1M natoa wapi na je yele wa pili namlioaje.

JF mbona imekuwa ya hovyo hivi.
Ilikuwa ni Pyramid yani mwisho wa siku System ingecollapse tu...!!
 
Mkuu unahis mr kuku kadakwa et kwa kuibia watu hzo lak lak na asirudishe...hapana....dogo watu walikua wanatakatisha fedha pale kwa jina la mr kuku...watu walimuaproach wakawa wanaweka pesa..kama wnaavyofanya kwa masanja ..wajanja wa serikalin ndo wanakofichia pesa huko skuhiz...mtu anapiga serikalin au kwenye mirad anatupia kwenye account ya masanja tu..na nyie mkiona masanja anauza mchele mnaamin.hahaha...
Kabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.
 
Huo ndio mchezo uliopo hapo.
Jiulize wakati anaanza kufanya serikali ilikuwa wapi?Na cha ajabu jamaa alikuwa na licences zote alizipataje?
Hapo serikali walimvizia tu azikusanye ili waende kuzichukua waingize kwenye miradi yao
Hata wewe Unaweza kuanzisha jina la biashara alafu ukaenda kuomba leseni ya biashara ya kufuga kuku. Kilichowashitua selikali ni jamaa kwenda kutoa benk pesa kubwa kushinda mtaji
 
Kabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.
Hii inaweza kuwa inaingia akilini aiseee...!! Maisha haya noma sanaa na vile mtumishi pesa zingine atasema ni charity kumbe unga noma sana
 
Kwanza wanakuambia subiri hapo, unaletewa kahawa wakati unakunywa simu zinaipigwa unakuja kuchukulia.

Benki yoyote haiwezi kukupa 6B bila benki kuu kujua
Ila watu wa benki nao ni wanafiki tu,wakati unaingiza hela kwenye benki yao hawaulizi wanakuacha tu halafu siku ya kutoa wanakurengesha kwa polisi.
 
Ndio maana wafanyabiashara siku hizi wanaficha hela ndani au kujengea majengo tu hawaachi hela benki kama huna risiti unafilisiwa
Duuh msala sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii Bongo leo hii ukitoa hata Mil 100 na huna vithibitisho vya biashara inayoendana na pesa hizo msalaaa.
 
Ndio maana wafanyabiashara siku hizi wanaficha hela ndani au kujengea majengo tu hawaachi hela benki kama huna risiti unafilisiwa
Yani kama huna kithibitisho hutoii...Unaweza wekaa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna jinsi hela inakuwa chungu halafu unasikia kuwa hazirudi huku ukiwa na tumaini kuu kuwa hela utazivuna.

Sikuwahi kuelewa jinsi ya kuvuna wale kuku..nilieleweshwa sana siku hiyo nyumbani lakini wapi.

Kweli maisha ni akili..raha alizokula bro huyo toka 2017.Sasa kwa mfano tu hapo wakatia tia maneno akatoa za uchaguzi kama b10.
B7 akaachiwa then sisi tuliowekeza kuku wetu wa Kidigital tukatangaziwa jamaa amefilisiwa nani atajua?

Kwa sababu huyo jamaa unajua anaweza kuchangia kujengwa kwa Steigler Gorgee kule..au hata akachangia kujenga SGR kipande kidogo tu.
Nchii hii hela zipo na kuna namna tu

Wazee wenzangu wa Mzigo wa kubet twendeni zetu..Kuna Man U leo...kule Inter..
Mi mwenyewe ningekua Rais hizo b.17 nachukua 10 namuachia muhusika 7

aende mbele huko akatafute jinsi ya kuishi,b.10 naziingiza kwenye ma flyover

siwezi mfunga mtu wa namna hii ambae hajamwibia mtu,walimpa wenyewe kwann nimfunge sasa?

wakimfunga au kumuwekea vikwazo n kumuonea tu chalii wa watu,wao wenyewe wezi tu vile vile.
 
Shida ni kwamba serikali ni waongo waongo sana hasa hawa wa huku mahakamani

wanamsema mtoto wa watu kasepa na 17B lkn ukute hela zote hizo ni wamemkadiria

sioni ukweli kwenye 17B huyu mtoto angekua kweli bank ana hata B.1 asingekamatwa

hayo mahela yote wamemuongezea tu namba, n sawa na tanesco au dawasco wakudake

umechezea mita yako,bili watakayokukadiria Hutoamini macho yako,ila watakukazia na utaitoa.
 
Back
Top Bottom