Ilikuwa ni Pyramid yani mwisho wa siku System ingecollapse tu...!!Wewe una reasoning kwenye ubongo wako kweli.
Ukinipa 500,000 mwezi wa kwanza nikulipe baada ya miezi 6 akija mwengine ndani ya muda huo anipe 500,000 nimlipe mwezi wa 12.
Aliye nipa mwezi wa kwanza natakiwa kumlipa 1M nitachukua 500K aliyenipa mwengine 500K ya kujazia ili iwe 1M natoa wapi na je yele wa pili namlioaje.
JF mbona imekuwa ya hovyo hivi.
Kabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.Mkuu unahis mr kuku kadakwa et kwa kuibia watu hzo lak lak na asirudishe...hapana....dogo watu walikua wanatakatisha fedha pale kwa jina la mr kuku...watu walimuaproach wakawa wanaweka pesa..kama wnaavyofanya kwa masanja ..wajanja wa serikalin ndo wanakofichia pesa huko skuhiz...mtu anapiga serikalin au kwenye mirad anatupia kwenye account ya masanja tu..na nyie mkiona masanja anauza mchele mnaamin.hahaha...
Ndio alikuwa anaanza kufanya miamala wakamdaka. Alienda benki kutoa 6BDah Jamaa alishatoboa tayari alishavuka viwango vya bilionea Laizer.
Yaani ilibaki tu kufanya miamala ya pesa alizovuna aende kuanzisha viwanda kupambana na akina Mo Dewji sokoni.
Ndio alikuwa anaanza kufanya miamala wakamdaka. Alienda benki kutoa 6B
Hata wewe Unaweza kuanzisha jina la biashara alafu ukaenda kuomba leseni ya biashara ya kufuga kuku. Kilichowashitua selikali ni jamaa kwenda kutoa benk pesa kubwa kushinda mtajiHuo ndio mchezo uliopo hapo.
Jiulize wakati anaanza kufanya serikali ilikuwa wapi?Na cha ajabu jamaa alikuwa na licences zote alizipataje?
Hapo serikali walimvizia tu azikusanye ili waende kuzichukua waingize kwenye miradi yao
Kwanza wanakuambia subiri hapo, unaletewa kahawa wakati unakunywa simu zinaipigwa unakuja kuchukulia.Dah alikosea padogo sana.
Alitakiwa kutoa kidogo kidogo.
Unajua utaratibu wa siku hizi ukitoa hela nyingi benki lazima uhojiwe.
Hata wewe Unaweza kuanzisha jina la biashara alafu ukaenda kuomba leseni ya biashara ya kufuga kuku. Kilichowashitua selikali ni jamaa kwenda kutoa benk pesa kubwa kushinda mtaji
ze kunogewaring,mwenzako alikua na ma plan yakeSasa b17 unabakiaje bongo tena?
Hii inaweza kuwa inaingia akilini aiseee...!! Maisha haya noma sanaa na vile mtumishi pesa zingine atasema ni charity kumbe unga noma sanaKabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.
Hawa ndio mtu unatakiwa kusema Rol mod wangu nikiwa mkubwa n Mr KukuOnly 29 years old kijana kakusanya 17B.
Ni ujasiri ulioje.
Big up.
Ila watu wa benki nao ni wanafiki tu,wakati unaingiza hela kwenye benki yao hawaulizi wanakuacha tu halafu siku ya kutoa wanakurengesha kwa polisi.Kwanza wanakuambia subiri hapo, unaletewa kahawa wakati unakunywa simu zinaipigwa unakuja kuchukulia.
Benki yoyote haiwezi kukupa 6B bila benki kuu kujua
Duuh msala sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii Bongo leo hii ukitoa hata Mil 100 na huna vithibitisho vya biashara inayoendana na pesa hizo msalaaa.Ndio alikuwa anaanza kufanya miamala wakamdaka. Alienda benki kutoa 6B
Duuh msala sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii Bongo leo hii ukitoa hata Mil 100 na huna vithibitisho vya biashara inayoendana na pesa hizo msalaaa.
Noma sana mkuu...!!Ila watu wa benki nao ni wanafiki tu,wakati unaingiza hela kwenye benki yao hawaulizi wanakuacha tu halafu siku ya kutoa wanakurengesha kwa polisi.
Yani kama huna kithibitisho hutoii...Unaweza wekaa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana wafanyabiashara siku hizi wanaficha hela ndani au kujengea majengo tu hawaachi hela benki kama huna risiti unafilisiwa
Mi mwenyewe ningekua Rais hizo b.17 nachukua 10 namuachia muhusika 7Kuna jinsi hela inakuwa chungu halafu unasikia kuwa hazirudi huku ukiwa na tumaini kuu kuwa hela utazivuna.
Sikuwahi kuelewa jinsi ya kuvuna wale kuku..nilieleweshwa sana siku hiyo nyumbani lakini wapi.
Kweli maisha ni akili..raha alizokula bro huyo toka 2017.Sasa kwa mfano tu hapo wakatia tia maneno akatoa za uchaguzi kama b10.
B7 akaachiwa then sisi tuliowekeza kuku wetu wa Kidigital tukatangaziwa jamaa amefilisiwa nani atajua?
Kwa sababu huyo jamaa unajua anaweza kuchangia kujengwa kwa Steigler Gorgee kule..au hata akachangia kujenga SGR kipande kidogo tu.
Nchii hii hela zipo na kuna namna tu
Wazee wenzangu wa Mzigo wa kubet twendeni zetu..Kuna Man U leo...kule Inter..
Pesa ya watu iliyokusanywa ni 17M tu hizo 16+B ni pesa chafu.Sema mamlaka zinashtuga zikiwa zimechelewa. Mtu kashawaliza watu bil 17 ki uhalisia ni kwamba waliolizwa hawawezi kurudishiwa ila pia hamna jinsi unamfunga mtu mwenye B17
Zilikuwa zakusafisha sio zake.Nahisi tumedanganywa hapo kwenye figures. Bil 17 ninazo bado niendelee kuish uswahilini!? Bwege nazi kabisa hili.
Weee Umesikiaa wapiii??? Mil 17 pesa ndogo sana hapa Jf kuna watu tu wameshatoa zaidi ya Mil 5...Pesa ya watu iliyokusanywa ni 17M tu hizo 16+B ni pesa chafu.