Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Huu msemo nauelewa sana toka nimeanza kuuona humu JF!
Yap ukiulewa huu msemo hakika huwezi ingizwa chaka kirahis rahisi, mtu anakuambia biashara fulani au issue fulani inalipa wewe kichwa kichwa unaweka fedha Bro no usifanye hivyo
 
Da! Pole yake aisee ni DECI nyingine hiyo huyo ni mdogo wake
 
Kweli aisee jamaa kwa level yake aliyofikia anaweza kubargain nao tu.
Hao serikali shida yao ni pesa tu hakuna kingine
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani watu wamepigwaa parefu mamaee...! Sema jamaa akitafuta wakili imara anaweza chomoa hii kesi alafu akasepa na Mpungaa..
Ni kweli aisee akipata mawakili wa kimataifa kama akina kibatala na tundulisu anatoboa
 
Pamoja na yote same date mlitohowa taarifa yangu na kutengeneza taarifa same date. Hakuna jipya nili andika as alert
 
Nikiikumbuka nilivyoliwa pesa na forex nabaki kusema bongo ukifa njaa umejitakiamwenyewd wajinga tupo kwa mamilioni.
NB: nawaonea huruma wastaafu walioweka pesa huko
boss msaada kidogo alikua anafanya vp hiyo shughul huyo m
Mr Kuku??...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…