Sema mamlaka zinashtuga zikiwa zimechelewa. Mtu kashawaliza watu bil 17 ki uhalisia ni kwamba waliolizwa hawawezi kurudishiwa ila pia hamna jinsi unamfunga mtu mwenye B17
boss msaada kidogo alikua anafanya vp hiyo shughul huyo m
Mr Kuku??...
Tuliwaambia kudadeki zenu
Mr kuku ni Ontario aliechangamka
Dah ali invest mazima dadeki. Hv wabongo mbona tu wagumu hv kujifunza.Toka DECI,D9 lakin bado raia wananasa kila mtego tu.Pole zake jamaa.Kesho atakuwa wise kwenye uwekezaji wake.Mwanangu kanipigia simu mda si mrefu. Nilimrushia hio clip! Ameshusha pumzi ya nguvu maana aliweka 3.5M...Nilichomjibu ni kuwa hio hela itafanyia shughuli za kizalendo kujengea barabara na mashule so asiwe na wasiwasi! Iko katika mikono salama.
Amejifariji kwa kusema in business kuna ku win na kujifunza.
nimecheka kinomaDuh, hii ndio bongo! Hatimae jibu limepatikana, kwa mnaokumbuka nilileta bandiko kuulizia uhalali wa ile biashara. Michango ilikuwa ya kutosha but all-in-all bwana alitoa na bwana ametwaa!!!
Unadhani Ni b17 Ni ndogo kwa iyo miaka mitatu?Mnaosema kakusanya 17 bilion na kwanini amebaki bongo inabidi mjue hizi hela hajazipata kwa mkupuo mmoja yaan amehesabiwa hela alizokuwa anakusanya kidogo kidogo tokea 2017 huko mpaka leo
Basi ndio hivyo yani, jina la bwana lihimidiwenimecheka kinoma
B hizo bro amezikusanya sana sema Coron hii ilituharibia.Mpaka Joti kamtangaza sana jamaaKweli aisee jamaa kwa level yake aliyofikia anaweza kubargain nao tu.
Hao serikali shida yao ni pesa tu hakuna kingine
Ajabu sana yani 🤣🤣🤣Wakati huo yeye kabet kwa Mr chicken 🤣🤦🤪🏃
Kiendacho kwa mganga hakirudi 🤣🤣🤣🤣Sawa,ila serikali itafanya mpango wa watu kurudishiwa chao kama documents zipo?..au ndo itataifisha?
Kwa mujibu wake mwenyewe, April mwaka huu alisema biashara yake ina thamani ya approximately over Bilioni Moja. Kwa kutumia common sense - Hiyo Bilioni 17 ni mahesabu ya kisheria ya pesa zote zilizopita mikononi mwake tangu mwaka 2017. Huenda pesa aliyonayo benki kwa sasa haifiki Bilioni 1!!!Kuna jinsi hela inakuwa chungu halafu unasikia kuwa hazirudi huku ukiwa na tumaini kuu kuwa hela utazivuna.
Sikuwahi kuelewa jinsi ya kuvuna wale kuku..nilieleweshwa sana siku hiyo nyumbani lakini wapi.
Kweli maisha ni akili..raha alizokula bro huyo toka 2017.Sasa kwa mfano tu hapo wakatia tia maneno akatoa za uchaguzi kama b10.
B7 akaachiwa then sisi tuliowekeza kuku wetu wa Kidigital tukatangaziwa jamaa amefilisiwa nani atajua?
Kwa sababu huyo jamaa unajua anaweza kuchangia kujengwa kwa Steigler Gorgee kule..au hata akachangia kujenga SGR kipande kidogo tu.
Nchii hii hela zipo na kuna namna tu
Wazee wenzangu wa Mzigo wa kubet twendeni zetu..Kuna Man U leo...kule Inter..