rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Hakuna namna aisee...Hakimu akili mil 50 tu anatulia!! Anaweza kuhonga wanaohusika na kesi mil 50 wote na akabaki na Mpunga wa maana.. Hii kesi za upatu ni kama kubet jackpoint tu
Sema mamlaka zinashtuga zikiwa zimechelewa. Mtu kashawaliza watu bil 17 ki uhalisia ni kwamba waliolizwa hawawezi kurudishiwa ila pia hamna jinsi unamfunga mtu mwenye B17