Wanajidanganya hakuna mwanasheria yeyote atakayeshinda hii kesi , kosa la kwanza ni kuendesha upatu kukusanya fedha bila kuwa na kibali/leseni kwahiyo hapo anaangukia kwenye utakatishaji fedha,watu wanasema sijui analipa kodi mara bla bla ,anaweza akawa analipa kodi kama mfanyabiashara wa kuuza kuku kama kampuni alivyoisajili ila kodi kwa ajili ya kufanya upatu halipi.
Ili kukusanya fedha kwa watu kama wafanyavyo bank ilitakiwa atafute leseni ya kufanya hivyo hapo ndipo kosa lilipo,jamaa ataozea ndani,hatoki leo huyo na utakatishaji pesa.