Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

kuna manzi moja hapa kwa ofisi yeye pamoja na msuuzo wake waliwekeza 10 milion ...kwa mwaka mmoja wavune 40 milion....sasa hivi kila nikimcheki namwona kama bandama linataka kumng'oka....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah msalaa sanaa...!! Huyu jamaa kazikusanyaa hasaa alafi ukute hakumshirikisha mumewee noma sana kuna Aunt yangu Desi ilipokufa ilikuwa Mwanzo wa Presha hadi leo hajakaa vizurii...
 
Ilikuwa ni Pyramid yani mwisho wa siku System ingecollapse tu...!!
Hakuna Rikiboy tufanye brainstorm.

Kwa view yangu mpaka sasa haikuwa pyramid bali mradi mzima ulikuwa na Aim moja wapo kati ya hizi na na ulifanikiwa 90% Aim ya mradi ilikuwa

1)Kurise mtaji kupitia fedha za watu
Ili kuja kujitegemea wenyewe baadae (bila kumfanyia utaperi mtu)...na walifanikiwa maana walianza 2017 na vibanda locally mpaka 2020 walikuwa na mradi wa kisasa mkubwa na walishatangaza kuwa muda wa wawekezaji umeisha watajitegemea wenyewe.

2)Utakatishaji fedha
ni watu furani wakihusisha mafisadi, watu wenye nyadhifa serikalini walitumia akiri na kubuni njia ya kutakatisha fedha ndefu kwa kivuri cha Mradi wa kuku wa wenye model ya Mrkuku na walifanikiwa pakubwa kimkakati maana ndani ya miaka 3 tu walifanikiwa kuitaka kuitakatisha almost 20 billion Tzs...katika hili wawekezaji walikuwa wanawalipa bila utaperi kwa kutoa Amount kwenye mradi ikiperea wanchota kihasi kwenye pesa inayotakatishwa.

Hapo mkakati utakuwa ni mmoja kati ya hiyo miwili juu na si kutaperi vi lakilaki vyaia tofauti na wanavyokazia vichwa humu jamvini ila kwa asilimia kubwa kuna uwekekano mkubwa ikawa mkakati mzima ni hii namba mbili (utakatishaji)
 
Kweli jamaa white kinoma kama anajichubua basi balaa ,yes ana kigari visaloon vidogo vidogo ,nilimkuta biafra kapaki pembeni anapakia mabegi nyuma ya buti sasa sijui alipokuwa anakaa alifukuzwa.
Haha ha ha...mabishoo bana
 
Kwani ma
Kabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.
Kwani masanja ana mkwanja kihasi gani ??

X6 kama ya masanja beigani ??
 
Hakuna Rikiboy tufanye brainstorm.

Kwa view yangu mpaka sasa haikuwa pyramid bali mradi mzima ulikuwa na Aim moja wapo kati ya hizi na na ulifanikiwa 90% Aim ya mradi ilikuwa

1)Kurise mtaji kupitia fedha za watu
Ili kuja kujitegemea wenyewe baadae (bila kumfanyia utaperi mtu)...na walifanikiwa maana walianza 2017 na vibanda locally mpaka 2020 walikuwa na mradi wa kisasa mkubwa na walishatangaza kuwa muda wa wawekezaji umeisha watajitegemea wenyewe.

2)Utakatishaji fedha
ni watu furani wakihusisha mafisadi, watu wenye nyadhifa serikalini walitumia akiri na kubuni njia ya kutakatisha fedha ndefu kwa kivuri cha Mradi wa kuku wa wenye model ya Mrkuku na walifanikiwa pakubwa kimkakati maana ndani ya miaka 3 tu walifanikiwa kuitaka kuitakatisha almost 20 billion Tzs...katika hili wawekezaji walikuwa wanawalipa bila utaperi kwa kutoa Amount kwenye mradi ikiperea wanchota kihasi kwenye pesa inayotakatishwa.

Hapo mkakati utakuwa ni mmoja kati ya hiyo miwili juu na si kutaperi vi lakilaki vyaia tofauti na wanavyokazia vichwa humu jamvini ila kwa asilimia kubwa kuna uwekekano mkubwa ikawa mkakati mzima ni hii namba mbili (utakatishaji)
So mkuu unataka kusema jamaa walikuwa wanapiga pesa sehemu nyingine wakawa wanaziingiza kwenye Mradi wa Kuku ili mradi ionekane pesa zinatokana na mradi..!! Inawezekana mzee japo daah pia kuna watu wameweka pesa zao so kiukweli nyuma ya hii ishu kuna zaidi ya kuku[emoji1787]

Kama Mr.white alifungua Gerage in the breaking bad
 
Sema mamlaka zinashtuga zikiwa zimechelewa. Mtu kashawaliza watu bil 17 ki uhalisia ni kwamba waliolizwa hawawezi kurudishiwa ila pia hamna jinsi unamfunga mtu mwenye B17
Mamlaka si kwamba hawajui. Nao wanakua na motive yao - pesa zijae wazipune. Wote serikali na MR Kuku ni majambazi kwa namna tofauti kulingana na muda.
 
Je ukiende
Wanajidanganya hakuna mwanasheria yeyote atakayeshinda hii kesi , kosa la kwanza ni kuendesha upatu kukusanya fedha bila kuwa na kibali/leseni kwahiyo hapo anaangukia kwenye utakatishaji fedha,watu wanasema sijui analipa kodi mara bla bla ,anaweza akawa analipa kodi kama mfanyabiashara wa kuuza kuku kama kampuni alivyoisajili ila kodi kwa ajili ya kufanya upatu halipi.

Ili kukusanya fedha kwa watu kama wafanyavyo bank ilitakiwa atafute leseni ya kufanya hivyo hapo ndipo kosa lilipo,jamaa ataozea ndani,hatoki leo huyo na utakatishaji pesa.
Je ukiendesha upatu huku una leseni ni inaruhusiwa ??
 
Huyu dogo hana tofauti na Hushpappy.......

Hivi swala la Deci liliishia wapi naona tz tumekua shamba la bibi yaani ni km serikali haipo inteligensia yetu inafanya kazi kwa vyama vya upinzani tu hasa chadema........

Aibu kubwa sn mambo km haya yanapojorudia mara kwa mara
 
Huu unaoitwa utapeli na uharam wa biashara ya Mr Kuku umefanyika Kwa miaka minne na matangazo kwenye social media hadi Kwa radio.

Inakuwaje serikali inatazama watu wanapigwa hela kutoka bilion moja imekusanywa hadi bilioni 17 baada ya miaka minne ..ndo wanaamka na kusema
Hii biashara haram..

Serikali ilikuwa wapi Kwa miaka minne??? Hadi Joti anapewa kazi ya kutangaza?..
Waliopigwa hela waishitaki serikali Kwa uzembe huu???
kutojua sheria sio sababu wewe uvunje sheria.

Wakaishitaki serikali kwa kosa gani? Wao wakati wanapeleka hela zao walijiridhisha vipi kama hicho wanachokifanya ni halali? Yaani utapeliwe kwa uzembe wako halafu uishitaki serikali?

Serilai iwashitaki hao waliocheza upatu nao huenda kuna watu wametumia hio kama njia ya kutakatisha fedha. Tena hii inatkiwa iwe funzo kwa taifa. Akishakupatikana na hatia, pesa zitaifishwe, asirudishiwe mtu hata senti. Ziende kwenye miradi ya maendeleo. Zikirudishwa watu hawatojifunza. Waendelee kuliwa tu kama walitaka kuliwa hapo mwanzoni.
 
Ajira hakuna, tukijiajiri mnatukamata kwa makosa ya uhujumu uchumi. Yaani sijui tufanye nini kwenye nchi yetu hii.

Nadhani mpaka mwenzangu amekusanya hela yote hiyo mamlaka zilikuwa wapi kumchunguza toka mwanzoni???

Imagine Mr kuku ni mlipa kodi mzuri. Binafsi naona huku ni kukatishana tamaa...Lakini ipo siku nchi hii itaongozwa na chama kingine ila si CCM!

Mwenye sikiona asikie....[emoji1548]
Unapojiajiri, fuata taratibu tu, hutosumbuliwa. Wapo waliojiajiri na wamefuata taratibu na wanakula maisha fresh. Hapa ndio unaona umuhimu wa kuwa na consultant sasa. kitu hujui, yeye anakuelekeza njia sahihi.
 
Huyu dogo hana tofauti na Hushpappy.......

Hivi swala la Deci liliishia wapi naona tz tumekua shamba la bibi yaani ni km serikali haipo inteligensia yetu inafanya kazi kwa vyama vya upinzani tu hasa chadema........

Aibu kubwa sn mambo km haya yanapojorudia mara kwa mara
WAJINGA NI WENGI WAPENDA SLOPE NI WENGI
WAKIAMBIWA MAPEMA WANAKUWA WAKALI KAMA MBOGO.....
ACHA TU SERIKALI IZICHKUE HELA HIZO
WAZITUMIE KWENYE MAMBO YAO TU

OVA

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mi toka nitendwe na Forex sipatikani kijinga.
Pole sana. Forex is real ila Ontario aliingiwa na tamaa na kutake side kwenye soko na mwishowe kuwapiga hela. Forex nayo ilivyo ni one's loss is one's gain. Kwa hiyo ni kuzichanga karata vema.
 
Namna ya kuzibadili ziwe dola ni kazi Sana, huwezi kwenda nje ya nchi na tshs!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hata ukzibadili hapa nchini kuwa dola sifikiri kama unaweza kutoka nazo kama sio kujitafutia msala tu.

Apo njia ni kufanya bank transfers kidogo kidogo kama una akaunti nje ama kutumia Visa/mastercard yako kufanya manunuzi tu ukiwa nje.
 
Hakuna pesa ya mtindo huo Mkuu, kila siku wanalizwa lakin hayakomi tu tangu lini pesa inatafutwa kwa kutumia vikundi, eti mtu ufanye nae share, vicoba, na sijui jumuiya hapa wajanja ndio watakao kula. Baadae inaanza migogoro na maujinga kibao hata kampuni tu zinaleta shida sembuse hayo ya kumwamini mtu.
Pesa hutafutwa na mtu binafsi na si vinginevyo.
Vicoba vyenyewe pia ni sooo. Mi namfahamu dada mmoja Arusha, yeye hafanyi kazi yoyote, ni vicoba tu na Sacco's. Yeye na mwenzake wanajua viongozi. Kazi yao ni kuzungusha Ile hela ya vicoba. Wanaforce wanachama wakope hata Kama huna shida. Unaambiwa inatakiwa uzalishe. Ukishakopa hiyo chapchap ambapo kila milion unajilipia laki kwa wiki lazima utashindwa huko mbeleni. Sasa yeye ndo anakukopesha kwa ribs halafu siku kikoba kinavunjwa uanjikuta pesa yako yoote unamlipa yeye. Wakati huohuo pesa zenu anazikopesha mitaani kwa hayo mariba ya laana. Ameliza wamama wengi Sana Sana.
 
Kwani ma

Kwani masanja ana mkwanja kihasi gani ??

X6 kama ya masanja beigani ??
Kipindi yeye ananunua ilikuwa bei ndefu kidogo kama 120m na akalipia 5m Plate Number.

Ila kwa sasa ukiwa na 70m unavuta X6.
 
Back
Top Bottom