Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Duh wakimshtaki mr chicken atawalipa nini?Labda wale wanaomdai wamshtaki huyo Bwana Kuku kwa kosa la kuwatapeli ambapo bado itakuwa ni jinai vile vile.
Wakifungua Kesi ya madai nayo naonaga ni michosho sometimes !
Njia za mkato ktk kutafuta kutoka kimaisha huwa na matatizo kama hayo!
Hapo ni wivu ndio umetembea hakuna hoja ya maana. Wanasema sijui mtu kacheza upatu.... Huo upatu wao unawahusu nini wao mbona wanacheza upatu na manunuzi ya wapinzani kuna sheria inawaruhusu wao kununua upinzani kuwarubuni waje CCM?!Yaani sijui tunaishi nchi gani. Baada ya jamaa kuzinguliwa soko la kuku liliyumba sana. Yaani wameua mradi mkubwa ambao huko mbele huenda ungekua na manufaa. Tatizo wivu watanzania tukiona mtu katoboa bila sugu mikononi tunaanza kuita wizi na majina mengine yasiyofaa.
Tariq amesema anaanza tena biashara yake! Nasubiri MANG'OMBE YAPIGWE TENA.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha yaani kirahis rahisi tu mtu anasema sisi ni wahalifu na ninyi wawekezaji wetu ni wahalifu pia so hatudaiani...... Manina.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imeisha hiyoView attachment 1666371
Kiufupi wote ni wahalifu πππ!!! Tuendelee kujifukiza tuHa ha ha ha ha ha ha ha ha yaani kirahis rahisi tu mtu anasema sisi ni wahalifu na ninyi wawekezaji wetu ni wahalifu pia so hatudaiani...... Manina.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii serikali ya CCM ya sasa mkoloni ana afadhali.
Kama alilipa nampa poleMahakama ya Hakimu Mkazi, imemhukumu mfanyabiashara Tariq Machibya maarufu Mr Kuku, kulipa faini ya sh. milioni tano au kwenda jela miaka 5, baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mawili ambayo ni kujihusisha na biashara ya upatu kwa kukusanya fedha kutoka kwa umma na kukubali kupokea miamala ya fedha bila ya leseni.
Katika hukumu hiyo, Mr. Kuku amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 2 au kifungo cha miaka 5 na katika kosa la pili ametakiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 3 au kifungo cha miaka 5. Ikiwa atashindwa kulipa faini, vifungo ni vyote kwa pamoja
Pia mahakama hiyo, imemuamuru fedha sh. bilioni 5.4 ambazo ziko benki ya CRDB kwenye akaunti ya mshtakiwa huyo kwenda kwenye akaunti ya Mkurugenzi ya Mashitaka nchini( DPP) iliyoko benki Kuu ya Tanzania( BoT).
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Godfrey Isaya, baada ya upande wa jamhuri kuingia makubaliano ya kulipa kiasi hicho.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Isaya, alisema mshtakiwa anamtia hatiani kama alivyoshitakiwa ambapo mshitakiwa ameshindwa kulipa fedha hizo na alipelekwa rumande.
Pia soma
- Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
- Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku
- Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara
- Mtaalam wa kuwekeza kwenye kuku tayari ameshawaliza
- Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17
- Wajasiriliamali wa Tanzania tuna lipi la kujifunza kutokana na makosa ya kiufundi / kitaalam ya Mr. Kuku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasikia kikwete kampigia simu jamaa yake arudiiKwaio manji bado iko pesa[emoji2], basi mwambieni arudi atuokoe watoto wa jangwani tumenyanyasika sana
Chaaap mapema sana ili huu mchezo unoge πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasikia kikwete kampigia simu jamaa yake arudii