Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Huyu jamaa ni raia wa Tanzania?
Kama ni Rais na aliweza kukusanya hizo bilioni za fedha sio wa kuchukulia poa
Wazo lake lingechunguzwa kama lina msaada kwajamii na aelekezwe kufata Sheria na taratibu watu wapate ajira
 
Eti mwizi aliyekamatwa kaonewa kwa vile wezi wengine hawajakamatwa? We ulisikia wapi?

Yawezekana hao akina Q Net ni wajanja na wamezingatia sheria zote husika. Nasikia makampuni haya yameandikishwa kihalali na ukiangalia mikataba yao imekaa kijanja sana. Hata ukiwakamata mahakamani waweza ishia kuangukia pua. Sana sana ni kufuta usajili wao na kuwafukuza nchini.

Mambo ya kisheria kamwe hayaongozwi na hisia wala mihemko kamanda !!!
 
Someni muelewe vizuri ni kwamba ameshakubaliana na DPP. Kwa mfumo mpya wa Plea Bargain

Wameshaangalia kwenye akaunti ana 5.4billion wamekubaliana unakiri kosa tunazichukua hizi halafu tunapunguza mashtaka

So 5.4 ya FIDIA washachukua
Halafu wanakupa adhabu ndogo ya FAINI ya million 5 au Jela miaka mi5

So wameshampukutisha kila kitu dogo hadi hiyo mil5 kashindwa kulipa kaenda rumande
Sioni Kama kashindwa kulipa watu wamechukua hela yote ya kwenye akaunti yako hata wangesema laki tano kwa siku kadhaa angeenda ishu ya wao kufunga akaunti yako sio Jambo dogo...
 
Kama intention ni kukwapuliwa kiswaufu hata ukienda jela haisaidii kwa sababu hela washachukua. Bora kupunguziwa adhabu tu halafu inaonekana dogo ana asili ya dharau toka alipotoka kimaisha huko uraiani. Sidhani kama kwa business cycle aliokuwa nayo anakosa mtu wa kumpa 5M asiende jela.
Kumbe mpunga walisepa nao? Hapo sasa tatizo
 
Na ana mke na watoto sasa ndio ubaya, auze ile Jaguar F-Pace ya 2018
Mkuu DPP sio mjinga hivyo, hivi unadhan mazungumzo na mtuhumiwa ni pesa za bank tu ndio zinahusika? Rejea investment jamaa alizokuwa amefanya kule kigamboni yale mabanda na ekari zile ni zaidi ya 2bil. Bado zile gari za kusambazia kuku na asset nyingine.

Kiufupi serikal ilikuwa inadai jamaa kakwapua billion 17. Sasa inachofanya nikukubana mpaka udondoshe tone la mwisho ndio inakupiga teke. Pengine hiyo gari na asset nyingine zilishapigwa mnada kitambo na madalali wa serikali kwa bei ya kutupa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu DPP sio mjinga hivyo, hivi unadhan mazungumzo na mtuhumiwa ni pesa za bank tu ndio zinahusika? Rejea investment jamaa alizokuwa amefanya kule kigamboni yale mabanda na ekari zile ni zaidi ya 2bil. Bado zile gari za kusambazia kuku na asset nyingine.

Kiufupi serikal ilikuwa inadai jamaa kakwapua billion 17. Sasa inachofanya nikukubana mpaka udondoshe tone la mwisho ndio inakupiga teke. Pengine hiyo gari na asset nyingine zilishapigwa mnada kitambo na madalali wa serikali kwa bei ya kutupa



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Sio rahisi kuuza hivyo vitu vingine kimyakimya bila kujulisha mahakama. Alichonyang'anywa ni huo mpunga tu. Kama kuna kingine mahakama ingesema.
 
Jamaa amewadesisha Sana watz vipi wapo waliowahi fanikiwa au ndio sawa na hadithi za mercury na rupia
 
Back
Top Bottom