Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,011
Fine sawa...lakini why hela zirudi serikalini?????Mbona unakuwa mgumu kuelewa? Mfungwa anatakiwa alipe fidia bil 5.4, alipe fine mil 5 au kifungo 10yrs. Kama ulichanga subiri fidia bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fine sawa...lakini why hela zirudi serikalini?????Mbona unakuwa mgumu kuelewa? Mfungwa anatakiwa alipe fidia bil 5.4, alipe fine mil 5 au kifungo 10yrs. Kama ulichanga subiri fidia bro
Jibu sasaa...!!Stupid and silly question.
Wametapeliwaa rasmi sasaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie endeleeni na maisha yenu kama kawaida. Swala la hela mtarudishiwa tu mungu akipenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utakuwa una undugu au maslahi na Mr Bata
Plea bargaining...Fine sawa...lakini why hela zirudi serikalini?????
🤣🤣🤣🤣🤣 hamna namna ingine, mzigo anao DPP sasa mwenye uchungu akamfungulie kesi DPP ili tupate la kujifunza😁Wametapeliwaa rasmi sasaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja Mwl. Kashasha aje atufafanulie Jesse, huenda ikawa ni Technical error.Hii kitaalamu tunasemaje eti mkeka umechanika [emoji1787][emoji1787]
Labda alishauza tayari maana kakoswa mpaka 5M ya fine, karudi mahabusuNa ana mke na watoto sasa ndio ubaya, auze ile Jaguar F-Pace ya 2018
🤣🤣🤣Nasubiri Nini kukimbia nchi
Yaani niwe na Bl-5 katika acc zangu za bank then niendelee kuishi tz nitakuwa nimerogwa au !? Kichaa?
Sioni Kama kashindwa kulipa watu wamechukua hela yote ya kwenye akaunti yako hata wangesema laki tano kwa siku kadhaa angeenda ishu ya wao kufunga akaunti yako sio Jambo dogo...Someni muelewe vizuri ni kwamba ameshakubaliana na DPP. Kwa mfumo mpya wa Plea Bargain
Wameshaangalia kwenye akaunti ana 5.4billion wamekubaliana unakiri kosa tunazichukua hizi halafu tunapunguza mashtaka
So 5.4 ya FIDIA washachukua
Halafu wanakupa adhabu ndogo ya FAINI ya million 5 au Jela miaka mi5
So wameshampukutisha kila kitu dogo hadi hiyo mil5 kashindwa kulipa kaenda rumande
Kumbe mpunga walisepa nao? Hapo sasa tatizoKama intention ni kukwapuliwa kiswaufu hata ukienda jela haisaidii kwa sababu hela washachukua. Bora kupunguziwa adhabu tu halafu inaonekana dogo ana asili ya dharau toka alipotoka kimaisha huko uraiani. Sidhani kama kwa business cycle aliokuwa nayo anakosa mtu wa kumpa 5M asiende jela.
Hao waliotapeliwa na Q net walienda kushtaki? Au wanaandika tu mitandaoniMr bata sio peke yake anaendesha upatu why Mashirika ya Nje hayakamatwiii??? Qnet inaliza watu daily why wnaachwa tu je kuna maslahi gani serikali inapata??.
Sheria inakataza alichokuwa anafanya: bado huelewi⁉️, niongeze sauti⁉️consent sasa kosa lipo wapi?
Mkuu DPP sio mjinga hivyo, hivi unadhan mazungumzo na mtuhumiwa ni pesa za bank tu ndio zinahusika? Rejea investment jamaa alizokuwa amefanya kule kigamboni yale mabanda na ekari zile ni zaidi ya 2bil. Bado zile gari za kusambazia kuku na asset nyingine.Na ana mke na watoto sasa ndio ubaya, auze ile Jaguar F-Pace ya 2018
Hapana. Sio rahisi kuuza hivyo vitu vingine kimyakimya bila kujulisha mahakama. Alichonyang'anywa ni huo mpunga tu. Kama kuna kingine mahakama ingesema.Mkuu DPP sio mjinga hivyo, hivi unadhan mazungumzo na mtuhumiwa ni pesa za bank tu ndio zinahusika? Rejea investment jamaa alizokuwa amefanya kule kigamboni yale mabanda na ekari zile ni zaidi ya 2bil. Bado zile gari za kusambazia kuku na asset nyingine.
Kiufupi serikal ilikuwa inadai jamaa kakwapua billion 17. Sasa inachofanya nikukubana mpaka udondoshe tone la mwisho ndio inakupiga teke. Pengine hiyo gari na asset nyingine zilishapigwa mnada kitambo na madalali wa serikali kwa bei ya kutupa
Sent using Jamii Forums mobile app
Man, unamaanisha akitoka jela atafute BILIONI TANO za kulipa fidia?Elewa kwanza, wamelamba zote, hajaachiwa kitu