Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Huko nako tunakuja; tutaelewana tu taratibu. #JPM 5 tenaBado Qnet na wenzao wanaoendesha upatu kinyume cha sheria za nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko nako tunakuja; tutaelewana tu taratibu. #JPM 5 tenaBado Qnet na wenzao wanaoendesha upatu kinyume cha sheria za nchi
Legal documents???Udanganyifu upi wakati miradi ilikua inaonekana na ipo vizuri tu. Mpaka masoko walikua nayo tena ya kutosha
Kwa kifupi Wachina hawatunzi pesa sehemu moja.Kuna wachina walikamatwa Morogoro wakiwa na 200M ndani, pesa za Mabonanza.
Kwa ujinga kama huu ndio maana kina Manji walikuwa wanatunza pesa zao Uswisi.
Laiti kama Manji angekuwa anaweka pesa hapa, angepitia hali ngumu sana na umasikini wa kutisha.
Sasa hivi naona unamwogopa. Ukienda tuambie tuanze kabisa kukufungulia uziHuyu dogo ni hatari katisha, akikaa sawa itabidi nimtafute
Wajinga si wengi na hawaishi kwanini asipige hizo bilionAll in all jamaa Ni kichwa .. 5billion huku akiwa na miaka 29 duhh .. shikamoo [emoji119]
Biashara yake ilikuwaje ..naomba unipe ABC zake
Vp forex unaionaje nayoDogo alionywa sana akashupaza shingo, apambane aache utapeli
Kosa ni kuendesha Pyramid scheme, baadae sana watu wengi wangelia. Ni kama Qnet na Rifaro au DeciHizi kesi sa kukubali mashitaka na kulipa fine ni mbinu za kuibia watu pesa.
Binafsi mpaka leo sijaelewa kosa la mr kuku. Maana kama mradi ulikuwa active na watu wanawekeza kwa free consent sasa kosa lipo wapi?
Hapa wananchi watafidiwaje hasara zao maana kwenye hukumu sijaona ikisema kuwa watalipwaje maana ki msingi hizo fedha ni za wananchi.Hii siredi wengi wengi wamecomment bila kuelewa [emoji1]
Elewa kwanza, wamelamba zote, hajaachiwa kituSasa si kwenye akaunti kuna iyo Billion 5.4 sasa iyo 5 itumike kama Fidia hafu iyo pont 4 (Mil 400) jamaa awape Mahakama Mil 5 yao hafu ibaki Mil 395.
Mil 100 hivi aende vacation viwanja vya mbele kama week 2 hivi hafu arudi kuanza upya.
Atawapata wajinga wengine tu.
Hazitatosha, inabidi BOT wakae nazo wakati tathmini ya waliotapeliwa ikiendelea ili kuhakiki nani katapeliwa kiasi gani na kila mtu apate asilimia ngapi ya alichotapeliwa, maana kamwe haziwezi toshaSasa pesa BOT ikafanye nini??....si walipwe waliotapeliwa
Vijana tengenezeni ki Netflix Cha bongo ili muishie alipo Mr. kukuIyo pesa DPP kaishaikwapua mapema na imeshaingia bank kuuu kwa maelezo kutoka juu
Hata hivyo, mshtakiwa ameshindwa kulipa faini na kurejeshwa rumande.
Kwa hiyo hizo 5.4 billions zitarudishwa kwa wenyewe(wananchi)?Hizo bilioni 5.4 ambazo serikali imezichukua kwenye account ya jamaa ni pesa za wananchi na sio za huyo jamaa. Ok, tumeshaelewa
Walijenga nchi, ila mpaka deci inapigwa chini hakuna mtu aliekua amelizwa ila Jamuhuri ya watu wakati ndio walikuja kusempa na bilion kadhaa lawama wakabeba desi alkdhalika uyu mr hen waliolizwa wamejenga nchi
Zimesharudishwa tayari. Serikali ni ya wananchiKwa hyo hizo 5.4 billions zitarudishwa kwa wenyewe (wananchi)?