Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa ni kutaka kuwa tajiri harakaHizi kesi sa kukubali mashitaka na kulipa fine ni mbinu za kuibia watu pesa.
Binafsi mpaka leo sijaelewa kosa la mr kuku. Maana kama mradi ulikuwa active na watu wanawekeza kwa free consent sasa kosa lipo wapi?
Kuna wachina walikamatwa Morogoro wakiwa na 200M ndani, pesa za Mabonanza.Ninawaelewa sana Wachina, pesa yao wana lala nayo ndani. Hakuna bank manager atakae jua balance halisi ya Mchina.
Hakuna lolote ni wivu na kuona watu wamebuni namna ya kuendesha miradi huku wakisaka wawekezaji wadogoZinaitwa pyramidal scheme, ni kosa kisheria kuendesha shughuli hizo. Haijalishi watu wamehiyari au lah.
Yaani sijui tunaishi nchi gani. Baada ya jamaa kuzinguliwa soko la kuku liliyumba sana. Yaani wameua mradi mkubwa ambao huko mbele huenda ungekua na manufaa. Tatizo wivu watanzania tukiona mtu katoboa bila sugu mikononi tunaanza kuita wizi na majina mengine yasiyofaa.Hii sheria ni aidha haina sifa za kuwa sheria au inakuwa-abused. Haifai kabisa, haina staha na inajenga taswira kuwa imelenga kupora watu hela zao
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Ni mtu wa kuthubutu. Anakua na business plan halafu anaalika wawekezaji wadogo. Wangeweka usimamizi mzuri ingefaa kuliko kumfilisiIla jamaa mr kuku ni mbunifu,serikali wangekaa nae chini wamtumie awabunie mradi mwingine wa kuiingizia hela serikali,Huyu jamaa Anko Magu anamfaa katika sekta ya ubunifu wa vyanzo vya mapato
Nasubiri nini kukimbia nchiSisi Watanzania bhana!Ina maana hadi leo hujui lengo la serekali/lengo la hiyo sheria?Nia ya serekali ni kukusanya mshiko mkubwa kutoka kwa watu wenye hela ndefu na wala siyo kulinda sheria.Sasa hao wa forex wana hela gani ambazo ni significant kwa serekali?Yaani DPP apoteze muda wake kupambana kukusanya hela kwa mtu mwenye million sijui nne au moja?DPP amepewa jukumu maalum la kukusanya hela kutoka kwa watu wenye hela ndefu,yaani kama wewe ni bilionea Tanzania siyo sehemu salama kwa sasa!
Naam kweli kabisaNaona tumefika zama za kuhifadhi ela arthini, kwenye handaki, darini na kwingine sio kwingine maana bank ni RISK SANA
Nakubaliana na weweFain ya milion tano sio kwamba hana ila akiitoa haraka harak watamshtukia huu jamaa pesa bado anayo ni mwendo wa kucheza na akili za watu tu
Biashara yake ilikuwaje.. naomba unipe ABC zakeYaani sijui tunaishi nchi gani. Baada ya jamaa kuzinguliwa soko la kuku liliyumba sana. Yaani wameua mradi mkubwa ambao huko mbele huenda ungekua na manufaa. Tatizo wivu watanzania tukiona mtu katoboa bila sugu mikononi tunaanza kuita wizi na majina mengine yasiyofaa
Tafuta mtandaoni habari zake zipo za kutoshaBiashara yake ilikuwaje ..naomba unipe ABC zake
Upo sahihi.Kuweka hela benki za Tanzania ni risk.
Muda wowote wakizitaka wanazichukua.
Bila mjadala mrefu.
Kibongo bongo ni ngumu kulala na pesa ndani mamiloooNinawaelewa sana Wachina, pesa yao wana lala nayo ndani. Hakuna bank manager atakae jua balance halisi ya Mchina.
Wakinga wanaweza tena unazikuta kwenye ndoo chakavu huwezi kutabiri. Hata wakisafirisha unamkuta mwanaume amevaa ndala miguu imepauka amebeba kapu kumbe na ndani lina nguo chakavu. Kumbe ndani ya nguo kuna milioni 50.Kibongo bongo ni ngumu kulala na pesa ndani mamilooo