Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Ubaya ni kwamba alikua na makosa ya sh bil17 so kwa muda wote huu wako wananegotiate ni pamoja na kuuza kila kitu alichonunua kwa hiyo hela. Ndo wamebahatika kupata hiyo bil5.4

Wakaona sasa inatosha hakuna kitu tena alichoficha basi mnakubaliana wanazikwapua

Swala la Million 5 wanaacha upambane nalo mwenyewe huko na ndugu zako. Dogo kakosa hio hela saizi karudi kulala na nyapala. Kulala kugeuka kwa filimbi
Tatizo kwa aina ya kosa lake, hata mtu wa kujitolea amsaidie hio 5M ni ngumu.
Hasa kama kipindi anaongelea hizo 17b hakula na wenzake.
 
At 29 amemanage kuhifadhi na kukusanya 17 billion. Alichelewa kufunga kipindi, au kufunga kwa kurudisha 5 milioni na hiyo 5b. 12 billion amebaki nazo..
 
Hizi kesi sa kukubali mashitaka na kulipa fine ni mbinu za kuibia watu pesa.

Binafsi mpaka leo sijaelewa kosa la mr kuku. Maana kama mradi ulikuwa active na watu wanawekeza kwa free consent sasa kosa lipo wapi?
Zinaitwa pyramidal scheme, ni kosa kisheria kuendesha shughuli hizo. Haijalishi watu wamehiyari au lah.
 
Hizi kesi sa kukubali mashitaka na kulipa fine ni mbinu za kuibia watu pesa.

Binafsi mpaka leo sijaelewa kosa la mr kuku. Maana kama mradi ulikuwa active na watu wanawekeza kwa free consent sasa kosa lipo wapi?
Hii sheria ni aidha haina sifa za kuwa sheria au inakuwa-abused. Haifai kabisa, haina staha na inajenga taswira kuwa imelenga kupora watu hela zao

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Mr kuku leo hii ameshindwa lipa faini ya 5million?
Hata kama wamepita na hizo za kwenye account,inamaana hakua na upande wa pili ...
Naunga mkono hoja aisee, what is 5 years over 5b, pia kumbuka mashtaka yanaonyesha alikusanya zaidi ya 17 b. My comfort option is 5 years.
 
Hivi wale wanaopokea pesa kuwatradia watu kwenye Forex wao hii sharia haiwahusu
Sisi Watanzania bhana! Ina maana hadi leo hujui lengo la serikali/lengo la hiyo sheria? Nia ya serekali ni kukusanya mshiko mkubwa kutoka kwa watu wenye hela ndefu na wala siyo kulinda sheria. Sasa hao wa forex wana hela gani ambazo ni significant kwa serekali?

Yaani DPP apoteze muda wake kupambana kukusanya hela kwa mtu mwenye milion sijui nne au moja? DPP amepewa jukumu maalum la kukusanya hela kutoka kwa watu wenye hela ndefu, yaani kama wewe ni bilionea Tanzania siyo sehemu salama kwa sasa!
 
Back
Top Bottom