Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Akili ndogo, nimekupuuza.Uliziona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ndogo, nimekupuuza.Uliziona?
Mi mwenywe nimekupuzaAkili ndogo, nimekupuuza.
[emoji3]walichungulia kwanza kabla ya hukumuNdo Hakimu ameamua eti kiasi hichohicho ndo kiwe faini, kwa hiyo walitaka tu hela zake...huyo ndo Mzee wa Chato, asikuone una sh.100 bank...anapita nayo!
M! Hiyo bitcoin ndo ipi? Dunia imekua na utapeli mwingi sanaHivi ni kweli jamaa aliweka pesa zote bank?? Hakuna pesa ata alozichimbiaa chini ya ardhi?? Angeweka mpunga bitcoin huo hakuna wa kuusitisha wala ku freeze angepeta sana
Na wale wanaokopesha pesa za riba kukomoa watu. Mke wangu alikopeshwa milion tatu kalipishwa laki saba na nusu kwa muda wa mwaka na nusu, mi nashangaa wife Hana raha Ana msongo wa mawazo, anaogopa kuniambia, nimekuja kufahamu wife anadaiwa baada ya kushindwa kuendelea kulipa mkopeahaji akaja kumnyang'anya gari. Sijui hata nafanyaje wife arudishiwe pesa yake maana huu ni unyang'anyiBado Qnet na wenzao wanaoendesha upatu kinyume cha sheria za nchi
Sidhani, zisingeweza kupigwa mnada kabla ya hukumu. Na havijatajwa kwenye hukumu hayo mabanda na magari. Na huyo mr kuku sidhan Kama anakosa m5, anataka tu watu wajue hanna hela Ili alitoka wasimsumbueMkuu DPP sio mjinga hivyo, hivi unadhan mazungumzo na mtuhumiwa ni pesa za bank tu ndio zinahusika? Rejea investment jamaa alizokuwa amefanya kule kigamboni yale mabanda na ekari zile ni zaidi ya 2bil. Bado zile gari za kusambazia kuku na asset nyingine.
Kiufupi serikal ilikuwa inadai jamaa kakwapua billion 17. Sasa inachofanya nikukubana mpaka udondoshe tone la mwisho ndio inakupiga teke. Pengine hiyo gari na asset nyingine zilishapigwa mnada kitambo na madalali wa serikali kwa bei ya kutupa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchumi wa kati mkuu
Pesa ni mali ya Bwana yule! Ana ulizia tu nani ana pesa kuanzia 5B .......
Tuamini tu kila jambo na mwisho wakeYaani so bad jamani nami nahisi hivyo hivyo................ Refer to Kitlya Shose na Sioi na bado tutayaona mengi hii ni trela bado filam yenyewe
Exactly😀[emoji3]walichungulia kwanza kabla ya hukumu
Ishatoka hiyoooHapa wananchi watafidiwaje hasara zao maana kwenye hukumu sijaona ikisema kuwa watalipwaje maana ki msingi hizo fedha ni za wananchi.
We mbona inaonekana hauko informed Mr kuku haikuwa network marketing ya kumuingiza mtu ndyo upate hela yako.Ponzi scheme ni utapeli tu, maana wale wa mwisho lazima wakose watu wa kuingiza na hapo pesa yao ndio imekwenda
Mr kuku amepewa adhabu ya kutaifishiwa pesa za watu alidhorumu ili ziwasaidia watanzaniaJibu alafu utuambie nani tapeli sasa. Serikali ambayo imechukua pesa yote bila kurudishia waathirika na kuua mradi au.
Mr. Kuku ambaye alikuwa na uwezo wa kuwalipa walau wachache na kuendelea na mradi.
Jamaa yupo uraiani inabidi mumtafute.Hapa wananchi watafidiwaje hasara zao maana kwenye hukumu sijaona ikisema kuwa watalipwaje maana ki msingi hizo fedha ni za wananchi.
Kna kesi moja ndama alipigwa fine ya 20mln hakuilipa papo kwa papo alirudi rumande baada ya siku kadhaa alilipa akatokaLabda alishauza tayari maana kakoswa mpaka 5M ya fine, karudi mahabusu
Kwani hela ya deci ilikuwa utawala ganiAisee utawala huu utakumbukwa kwa kuwanyang'anya watu fedha zao aisee wizi mpya kabisaaa alaaa aiseee simjui huyo Mr. Kuku lakini daaah Mungu atampa tena aiseee na ni bado kijana mdogo haswa
Kuna tofauti kati ya process hiyo Ulaya na Bongo.Mkuu, nadhani hata Ulaya kuna kuzuia na kunyang'anya mali na maslahi, interest and asset seizure and forfeiture.
Na pia haijaswmwa kama walipokaa Mr. Kuku na DPP mjadala ulikuwa mrefu au mfupi.
Eti fedha na mali zote ni za "bwana" (sirikali)Kuweka hela benki za Tanzania ni risk.
Muda wowote wakizitaka wanazichukua.
Bila mjadala mrefu.