Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Serikali ya kiporaji sana hii
Yani fidia anapaswa kulipwa mwathirika serikali ndio wanachukua fedha zote za wananchi?

Sasa kunatofauti gani kati utapeli wa Mr kuku
Na utapeli wa serikali dhidi ya wananchi wake?

Mimi nilidhani serikali ipo kuhakikisha wananchi wake wako salama na hawatapeliwi kumbe wanafungua kesi kwa maslahi yao
Shame on ccm government
 
Kuna tofauti kati ya process hiyo Ulaya na Bongo.

Bongo benki hazina hata confidentiality.

Mzee wangu alitaka kutoa hela NMB, millions of USD equivalent, azipeleke Citibank. Kwa sababu NMB hawakuwa na basic confidentiality.

Mpaka wakubwa serikalini wakamsihi asifanye hivyo kwa uzalendo tu.

Sa ujinga kama huo bank kama Citibank NA ni nadra sana.
Mzee wako alikuwa anajali sana siri zake za kibenki lakini akaenda kwa wakubwa serikalini kuwaaambia jamani nina mamilioni ya dola NMB nataka kuyatoa. Wakamuomba azibakize NMB. Sielewi Mzee wako alikuwa anajali zaidi siri zake au kutishia na kubembelezwa na wazee wa serikali badala ya kuzitoa kimya kimya.

Turudi kwenye mada. Kuhusu siri za wateja, hata Ulaya serikali inajua una kiasi gani benki. Nchi za Umoja wa Ulaya unatakiwa kuripoti miamala ya Euro 10,000 na zaidi kama vile depositing, kwa hiyo akaunti, salio, jina, umezipata pataje, una mpango gani nazo, vyote vitajulikana. Hakuna siri. Na wakitaka kuzikwapua watafanya mchakato wa seizure and forfeiture kama DPP, Jeshi la Polisi na Mahakama walivyofanya kwa Mr. Kuku.
 

bank zetu haziko security kabisa BOT wapi wamepata access yakuchukua Pesa zote??
 
Serikali ya kiporaji sana hii
Yani fidia anapaswa kulipwa mwathirika serikali ndio wanachukua fedha zote za wananchi?

Sasa kunatofauti gani kati utapeli wa Mr kuku
Na utapeli wa serikali dhidi ya wananchi wake?

Mimi nilidhani serikali ipo kuhakikisha wananchi wake wako salama na hawatapeliwi kumbe wanafungua kesi kwa maslahi yao
Shame on ccm government
You are shaming the government bila kujua all recommendations za DPP??? Imagine kama waathirika wameamua kutofuatilia fedha zao???
 
Yani unasemaje serikali inachukua bila ridhaa wakati wamekaa mezani jamaa akaridhia kumpa mitonyo DPP? Isitoshe jamaa yuko hatiani na keshakiri kwamba alifeli. Serikali ina mkono mrefu na inaweza kufanya hivyo kwa kufile order kwa banks tu ili walete taarifa zako za mipunga.
Mimi naona hujaelewa swali langu, nauliza hivi account yako binafsi mtu mwingine anawezaje kuingia na kuchukua fedha zako. Ina maana bank haziwezi kuzuia?
 
Mzee wako alikuwa anajali sana siri zake za kibenki lakini akaenda kwa wakubwa serikalini kuwaaambia jamani nina mamilioni ya dola NMB nataka kuyatoa. Wakamuomba azibakize NMB. Sielewi Mzee wako alikuwa anajali zaidi siri zake au kutishia na kubembelezwa na wazee wa serikali badala ya kuzitoa kimya kimya.

Turudi kwenye mada. Kuhusu siri za wateja, hata Ulaya serikali inajua una kiasi gani benki. Nchi za Umoja wa Ulaya unatakiwa kuripoti miamala ya Euro 10,000 na zaidi kama vile depositing, kwa hiyo akaunti, salio, jina, umezipata pataje, una mpango gani nazo, vyote vitajulikana. Hakuna siri. Na wakitaka kuzikwapua watafanya mchakato wa seizure and forfeiture kama DPP, Jeshi la Polisi na Mahakama walivyofanya kwa Mr. Kuku.
Hela zilikuwa za mkondo wa taasisi ya kiserikali, aliingiliwa kisiasa.

Ama una miss point yangu, ama unajitia ujinga wa makusudi.

Huko nchi za Ulaya na Marekani, kote, serikali inaweza ku garnish hela, hilo si ninalojadili hapa.

Nimefanya kazi kwenye mifumo ya benki ya kimataifa miaka mingi sana naelewa hili.

Tatizo ni due process.

CEO mstaafu wa CRDB, Charles Kimei, aliwahi kusema kimsingi anamuogopa sana Magufuli, na yuko tayari kufanya lolote atakalosema Magufuli.

Hii kauli kwa CEO wa benki ni kauli ya hatari sana.

Maana yake Magufuli anaweza kumwambia waibe hela benki wazipeleke kwenye kampeni za urais, na yeye kwa sababu anamuogopa sana Magufuli akakubali tu. Tafsiri ni kwamba ukiweka hela zako CRDB ya Kimei, ulikuwa unaweka hela katika benki yenye CEO asiye na banking integrity, anaogopa wanasiasa.

Kauli kama hii ikitolewa na CEO wa benki ya Marekani hapo hapo anatolewa kazini.

Huko Bongo hakuna mifumo iliyokomaa ya kitaasisi, hakuna due diligence. Watu wanaweza kukuona una hela nyingi wakakuonea wivu tu wakakutungia kesi ya uhujumu uchumi wakufilisi.
 
Na wale wanaokopesha pesa za riba kukomoa watu. Mke wangu alikopeshwa milion tatu kalipishwa laki saba na nusu kwa muda wa mwaka na nusu, mi nashangaa wife Hana raha Ana msongo wa mawazo, anaogopa kuniambia, nimekuja kufahamu wife anadaiwa baada ya kushindwa kuendelea kulipa mkopeahaji akaja kumnyang'anya gari. Sijui hata nafanyaje wife arudishiwe pesa yake maana huu ni unyang'anyi
Kama aliandikiwa mkataba hana jinsi
 
Dah aisee jamaa ukimuangalia kwa macho unajiulza maswali hii B.5 ipo?? kweliiView attachment 1652190
Don't use both of ur legs kumesha kina cha maji. Never discard a book's content by the "unglittering" appearance of its cover. Siyo vyote vilivyofubaa na kusawijika ni madakata --- zingine ni pure gold nuggets per excellence.
 
Hebu tu assume hii kesi tungekua hatuijui (wananchi) yani kesi inakua siri kati ya mahakama na mshtakiwa,unadhani mr kuku angehukumiwa? hela aliyokua nayo 5B ni nyingi sana wangeichukua halafu mshtakiwa anaambiwa sepa kwenu katulie.

lakini shida n kwmba kesi kila mtu anaijua na kati ya wanaoijua kuna waliolizwa na mr kuku,kinachofanyika ni kuwazuga walalamikaji/waliopigwa na mr kuku,sasa wanazugwa vipi?

inatolewa hukumu ambayo mshtakiwa hatakiwi kuilipa (kulingana na walivyompanga) anaambiwa atulie maana akiilipa ataonekana ana hela,walalamikaji/waliopigwa wataona mtu wao hajapata anachostahili,hivyo basi Mshtakiwa anajifanya hana hela kbsa anaenda rumande.

akiwa kule baaada ya mwezi anatolewa,kwasababu kwamba kapata mdhamini kamlipia zile 5m,bila kujua hili wala lile walalamikaji wanapishana na mr kuku pale m/city anasukuma kibaiskeli kakijaza mazaga nyomiiiii anaelekea parking alipopaki crown lake.

Hii kitaalamu inaitwaje unajua? inaitwa "danganya toto kula kande mbichiiiii",mr kuku anakula bata zote tangu day 1 waone ana B zakutosha Bank. Nchi hiiiiii jela ina maskini tu,acha mimi nianzishe Mr.Bata yangu ebu
Hadithi Alfuleulela
 
Ndo Hakimu ameamua eti kiasi hichohicho ndo kiwe faini, kwa hiyo walitaka tu hela zake...huyo ndo Mzee wa Chato, asikuone una sh.100 bank...anapita nayo!
Hukusoma kwamba hukumu ilipunguzwa??? Kumbe ulitaka adaiwe 29B??? Yaleyale ya Mbunge Nusrat na gereza!!!
 
Amemdanganya Nani wakati kila mwekezaji alikuwa akipata gawio lake km kawaida?

Tatizo jamaa aliintoduce kitu kipya kbsa nchini na watu km wewe kwa kutoelewa mnamuita tapeli wakati huko Nigeria kitu alichofanya dogo ni kitu kilichozoelekakwa miaka mingi wanaita crowd. Funding.
Documents, legal papers!?? Wacha maneno, weka mziki
 
Wakinga wanaweza tena unazikuta kwenye ndoo chakavu huwezi kutabiri. Hata wakisafirisha unamkuta mwanaume amevaa ndala miguu imepauka amebeba kapu kumbe na ndani lina nguo chakavu. Kumbe ndani ya nguo kuna milioni 50.
Unatusema vibaya. Tuna magari pia hatutembei kwa miguu tuu.
 
Jamaa alikuwa alishapata tenda za kusupply kuku kwenye balozi , mahotel na international school .

Kwa serikali inayojielewa baada ya kuona tatizo ingekaa na mhusika na kumuelekeza namna sahihi ya kufanya mradi wake bila kuathiri biashara na ajira alizotengeneza.
What if alishauriwa akawa hard-headed??? Naona unakandia serikali huoni the other side of the fence.
 
Alibaba angekuwa hapa, saa hizi yuko lupango maana hana duka ila anauza bidhaa sio zake, hiyo ni piramidi scheme na uhujumu uchumi mkubwa..
Yule ni dalali. Anaunganisha wauzaji na wanunuzi.
 
Back
Top Bottom