Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Msamiati wako balaa
 
Kabisa kaka. Tuangalie mechi Ila naona timu pinzani imeshafungwa goli 4 kipindi hiki cha kwanza. Sijui watakuja na maajavu kama ya Man U ya Fergie kipindi hiki cha pili?

Halafu hata boli pozisheni wamezidiwa Sana halafu Wana majeruhi kibao.

Ila utawasikia, ooh refa kapendelea, ooh uwanja una mashimo Yan hawaishiwi hawa
 
Upuuzi mtupu
 
Huku lissu kati kachero mbobevu, walahi mbabu wa chatto hachomoki, ajiandae kurudia kazi yake ya unyampara wa mabarabara hiyo ndo anaimudu, Tundu lissu hana kinyongo naye atampa unyampara
 
 

Attachments

Wanabodi,

Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".

Kama Ni kweli, kwanini cheamani asiingie mzigoni mwenyewe ili apate hao wabunge 20? Mbona 2015 asilimia kubwa aliongea yeye na siyo White hair?
 
Mataga mnahangaika sn
 
🍿🍿🍿🍿🍿 ngoja nile popcorn, natamani uchaguzi upite, maisha yaendelee
 
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako dadeki!!
 
BM hata wamuache aendelee na kampeni, Kwa Lissu hana effect maadam viongozi wake wameshatoa muelekeo na umeshaitikiwa posively na wanachama wao!
Wamemdhalilisha sana kachero. Yan wanampandisha stress zimisha kabisa
 
Navuta taswira kuangalia mtifuano utakaotokea pale cheamani atapotaka kujilipa kibabe (kama ilivyo kawaida yake) ruzuku kiduchu watakayopata mwakani. Things'll never be the same after 28/10.
 
Walikaribisha kirusi wenyewe, kama vile hawawajui ccm! Ndo walinywe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…