Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzwazwa tuu, nilifikiri uzuzuAcha UZUSHI ZWAZWA wewe!
Wanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).
Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.
Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".
Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.
Tusubiri
Siami kabisa katika upinzani ,kwa kuwa hivi ni vyama vya watu binafsi.Jiulize maswali.Kikao kikuu cha ACT kilimteua Membe kuwa ,mgombea URAIS.Leo hii ,MTU yupo barabarani tu ,anasema Member sio mgombea ,tunaungana na LISSU.Hii ni sahihi?Wapinzani wanalia na katiba ,je wao sana vyama vya umma?Au ni vyama vya watu binafsi vinavyofucus ruzuku?Au ni vyama vya biashara.
Ongeza na shuduPum
Pumba tupu
Gabriel bado Yuko huko mitaa ya heavenNdio yule kiongozi wa malaika mbinguni?
Niguse unuke!! Sasa ACT watamjua mbobezi si mtu wa mchezo mchezo.Deal ilijionyesha mwanzo,mapokezi makubwa ya kinafiki na kumteua ghafla bila mshindani,walikuwa wanatafuta kuchomoa pesa zake.Lakini nayeye kawakamata pabaya anaweza AKAKINUKISHA.
Unadhani Bavicha wataelewa huu ujumbe?Wanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).
Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.
Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".
Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.
Tusubiri
Bavicha wahedBasi nchi hii kuna "Mr I know it all" wengi sana. Wengine wanasema sio hapa duniani tu hata kule mbinguni watakua pamoja na malaika
Wengine hatuna vyama mkuu, mbona umepanic?Bavicha wahed
Hapo sasa na ninavyomjua mbobezi hawezi kukubali kindezindezi.Na utakuta wameshamramba hela nyingi sana
Aende zake wapi? Humjui mbobezi wewe hapo ndipo kazi inaanza.Membe aende zake...
Huyo atakuwa ni bundi wa kichina, huku kwetu ni yeye tu. Kampeni zinazidi kupamba moto mpaka yule fisadi wa ndege bp imepandaWanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).
Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.
Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".
Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.
Tusubiri
Wamuache aendelee na kampeni zake atavuna alichopandaIngekuwa ni wewe umetumia kiinua mgongo chako kukodiaha shamba na ukaanza kupalilia mti ghafla mwenye shamba anakuambia achana na huo mti, tupalilie mti wa jirani.
Wale vijana uliowaandika kazi na wawekezaji wenzanko utawasikia tuu huko kwa media wanamnadi mkulima mwenzako. Wee utakubaliana na hilo?
Mambo mengi. Kwanza mambo jimboni kwake si rahisi sana, halafu kupoteza fedha nyingi kwenye kitu ambacho huna hakika utakipata si jambo la busara.Ya kweli hayo ? Ila mista cheaman mbona kama kapunguza kiherehere nowdayz ?