Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Nchi hii imejengwa kwa machozi, jasho na damu. Hatuwezi kulazimika kuishi ndoto ya mzee Mtei. Tumekataa kufarakanishwa kwa misingi ya ubaguzi
 
Kote mfumo huo ulipoasisiwa ilikuwa ni kutaka kurekebisha hizo kasoro ambazo kwetu hazipo.
 
Watanzania wote wenye akili timamu watampigia kura Lissu..misogynist hana nafasi..
Nitawachapa mashangazi zako,barakoa kama titi moja, sitasomesha wanafunzi wajawazito nk nk
 
Huku lissu kati kachero mbobevu, walahi mbabu wa chatto hachomoki, ajiandae kurudia kazi yake ya unyampara wa mabarabara hiyo ndo anaimudu, Tundu lissu hana kinyongo naye atampa unyampara
Hachomoki wakati wameona moto mkali wanataka kuungana baada ya kugundua mmoj mmoja hawamwezi, hata wakiungana bado hawamwezi mzee wa chato, mark my word

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Maskini Membe, alidhani wanazungumza lugha mmoja,kumbe wanatafuta pesa zake.
Na pale walipoona hakuna dalili za kutoa pesa zaidi wakamtosa.
 
Wanabodi,

Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).

Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahaha kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.

Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuja masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".

Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.

Tusubiri

Amani Msumari
Tanga (kwasasa Kigamboni kumsabahi baba Kegan)

Hahahaha

Kule kwenye Mti wa mzambarau kumenoga maana kubwa la story za bahari halihitaji Ndege tofauti na Nyangenyange.

Ngoja tuone safari ya Ngisi itakuwaje hungwe ya pili ya mtifuano
 
Hahahaha

Kule kwenye Mti wa mzambarau kumenoga maana kubwa la story za bahari halihitaji Ndege tofauti na Nyangenyange.

Ngoja tuone safari ya Ngisi itakuwaje hungwe ya pili ya mtifuano
Tusubiri
 
Back
Top Bottom