Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
- #161
Sawa, mjumbe hauawiMshauri Uchaguzi ujao ajaribu Vijijini kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, mjumbe hauawiMshauri Uchaguzi ujao ajaribu Vijijini kidogo
Nadhani Mheshimiwa Zitto amekusikia au rudia tena. Eti umesema huku bara hamuwahitaji sio?Ukweli ni kwamba Membe hata akigoma kumwunga mkono Lissu hao wanachama wa ACT wanapigia kura mgombea wa urais chadema .Kwahiyo Membe awaunge mkono chadema au asiwaunge haisaidii ,zamu hii hawa viongozi wanaohama vyama hamna anayewaamini kama walivyofanya lowasa na sumaye .
ACT inahitaji chadema lakini chadema haihitaji ACT huku bara
Na liliundwa mpaka grupu la wasapu kutokea humu liliitwa membe ikulu. Ila tangu juzi naona wamebadili jina la grupu. Watu wabaya sanaaaBaadhi ya binadamu wa JF wabaya sana....!Nikikumbuka namna hao binadamu walivyokuwa wana'mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa' ndugu Membe hapa jukwaani yaani hata siamini ninachokisoma hapa jukwaani. Wengine, walibadiri hadi Avatars zao hapa JF na kuweka avatar za picha za ndugu B. 'Camillus', huku wakikoleza na hash-tags za #Twende na 'Jamaa' 2020. Hizo avatar sioni hata moja!..
Wakati ukiandika hayo, hakikisha hausahau maneno mazito kutoka kwa le chea "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa ni muujiza". Mwisho wa kunukuu.Wameshikwa pabaya khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mwaka huu watakoma tu!
Watu wabadiNa liliundwa mpaka grupu la wasapu kutokea humu liliitwa membe ikulu. Ila tangu juzi naona wamebadili jina la grupu. Watu wabaya sanaaa
White hair alijinyea 2015, na alikua mgonjwaKama Ni kweli, kwanini cheamani asiingie mzigoni mwenyewe ili apate hao wabunge 20? Mbona 2015 asilimia kubwa aliongea yeye na siyo White hair?
Naunga mkono. Bwana Mshana atoe mawili matatu juu ya Kachero mbobeziBaadhi ya binadamu wa JF wabaya sana....!Nikikumbuka namna hao binadamu walivyokuwa wana'mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa' ndugu Membe hapa jukwaani yaani hata siamini ninachokisoma hapa jukwaani. Wengine, walibadiri hadi Avatars zao hapa JF na kuweka avatar za picha za ndugu B. 'Camillus', huku wakikoleza na hash-tags za #Twende na 'Jamaa' 2020. Hizo avatar sioni hata moja!
Mshana Jr , Mkuu, upo?
Kwa heshima kubwa naomba utoe tathmini ni nini kimetokea juu ya Mtanzania mwenzetu Ndugu Benard kisiasa.
Muda ukikutosha tufafanulie zaidi juu ya huyu ndugu yetu amekwama wapi; wakati juzi kati tuliambiwa anaadaa baraza la mawaziri.
Karibu
Sio heshima. JirekebisheWhite hair alijinyea 2015, na alikua mgonjwa
Na vile wanasema ana akili nyingi na anajua vyote kaona hapana, azitunze leo ili zimtunze keshoSawa huenda akawa nazo Ila ndoivyo sasa lazima azibanie,hawezi kuingia kichwakichwa wakati anajua kabisa Hana guarantee ya kushinda uchaguzi😂.
Sawa mkuu sirudii.ila naumia kuona alikuja upinzani alafu karudi ukouko alikotoka.Sio heshima. Jirekebishe
Siasa mkuu. Mwache amalize salamaOSawa mkuu sirudii.ila naumia kuona alikuja upinzani alafu karudi ukouko alikotoka.
Ila nimependa. U r so humble. Hivyo ndivyo Watanzania twahimiza tuwe. Tunabishana kwa vyama vyetu ila mwisho n wamoja na tunadumisha mila na taratibu zetu nzuri.OSawa mkuu sirudii.ila naumia kuona alikuja upinzani alafu karudi ukouko alikotoka.
TumewazoeaWakija hapa utasikia haya kapokee buku saba yako
Can u define day dreaming?Huku lissu kati kachero mbobevu, walahi mbabu wa chatto hachomoki, ajiandae kurudia kazi yake ya unyampara wa mabarabara hiyo ndo anaimudu, Tundu lissu hana kinyongo naye atampa unyampara
Inasikitisha sanaNa utakuta wameshamramba hela nyingi sana
Kosa bando ukose MamboKipindi hiki sio cha kukosa bundle
Amezaa toto Tundu, Anakaza tuu kuogopa runguYa kweli hayo ? Ila mista cheaman mbona kama kapunguza kiherehere nowdayz ?
Kidogo sasa? Tunakupigania chama chetuMataga mnahangaika sn